Mapendekezo ya hatua za kuchukua ili kuimarisha thamani ya shilingi

Wasomi na chadema njooni huku mbona kimya.Halafu baadaye mtajifanya nchi hii Mawazo yenu huwa hayasikilizwi.Wekeni hapa msijifungie kwenye nyumba vya midahalo . Forum haina wachangiaji hapa ndipo waweza jua watanzania wajua tu kukosoa sio kutoa solution .Tabia mbaya ni pepo nyie wasomi hilo pepo la kukosoa lisilo na solution liwatoke kwa jina Yesu na lisiwapagae tena nyie na chadema
 
Wewe ndio mtanzania tunataka .Mtu mwenye solution.Tanzania inahitaji watu wenye solution kama wewe . Chadema bring solution to problems .Muwe bungeni au popote toeni solution credible kama huyu
Embu tuondoe uchama hapa tuko hapa kuishauri serikali...kwani mleta mada amesema chama gani anatoka?
 
Hivi unaamin standard liquid ya rejeta ni MAji . Ukinunua gari huko duniani linakuwa na maji ee
Standard ni maji ndio.
Sababu ya kua na unafuu wa gharama pamoja na high heat capacity. Lakini huwa yanachanganywa na antifreeze pamoja na corrosion inhibitors

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Solution? Kwani shilingi imeshuka.
Let's say haijashuka wazo lake la "currency stabilization fund" bado litakua valid kuzuia siku isije kushuka

Na kama shilling imeshuka, bado tunaweza kuinusuru hadi wewe maskini usione impact yake maana mpaka sasa huhisi kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pure rubbish man. Si mpinzani wala mwanachama wa chama chochote lakin that is pure rubbish man.

Eti vyama vya upinzan vinachangia shilingi kushuka?
Huko nyuma wakati uchumi ulikuwa stable.. ni nani aliekuwa akichangia mostly shiling kupanda?
Na vyama vya upinzan vilikuwepo lakin je shilingi ilishuka? Why awamu hii tu?

Nchi tumeshindwa ku export bidhaa.. kutwa tuna import kwa ukubwa zaid ya export halaf tunamtamfuta mchawi wa shilingi kushuka..?

Come on man.. huwez taja point hewa kama hii.. you smart than that

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: prs
Matibabu ya Lisu pia yanachangia thamani ya shilingi kushuka
 
Kumbe unaweza kujenga hoja Ukiachana na Fikra za Kiccm..
Achana na Mipasho ya kina jingalao ..nk, Wakisoma hapa watakuita Mpinzani sababu umesema Kweli.
 
Ili kuboost utalii, madini, kilimo (pamba etc) na mifugo na kuleta forex earnings, ni vizuri serikali ijenge barabara ya kiwango cha lami itakayo unganisha Karatu na Mwadui moja kwa moja (kupitia kaskazini mwa ziwa Eyasi).

Barabara hii inatoka mji wa Ngorongoro inapitia Kakesio then Banyu (in Maswa Game Reserve) then Banyu tena (after Maswa Game reserve) then Lalago (karibia na Mwadui; kwenye main road ya Mwanza na Musoma).

This road is approximately 180 kms.

Ni vizuri Hazina na TANROADS waiweke barabara hii kwenye bajeti ya mwaka huu wa 2019/2020.
 
Sehemu nyingine inayoweza kuingiza pesa nyingi za kigeni ni dawa za kienyeji na miujiza . Serikali iwahamasishe wenye dawa za kienyeji na miujiza kuvutia watu waje nchini wapate dawa zao na miujiza yao.Zimbabwe na Nigeria wamefanikiwa sana kwenye hili.Wote mashahidi watanzania wengi huenda kwa TB Joshua na sisi tulikuwa naye Mwasapile aliingiza mamilioni ya hela za kigeni kwa watu waliokuja toka mataifa mbali kufuata kikombe cha Babu.Ukiwa na watu wanna tu kwenye nchi wawe wakweli au matapeli is non of your business waweza ingizia nchi mabilioni ya pesa za kigeni kwa kuwa wanaokuja watalala mahoteli,kula ,usafiri nk Kila wizara ijieleze namna ya kupata pesa za kigeni.Waganga wa kienyeji waweza vutia pesa za kigeni kwa tiba zao na wafufuaji akina Gwajima fikiria na nguvu zao za kufufua maiti zimeletwa toka mortuary ya Marekani kufika kwa Gwajima akafufua hata mmarekani mmoja tu kesho Donald Trump mwenyewe lazima apande ndege kuja kusali kwa Gwajima na kuja na maiti za kufufua Na Gwajima akifufua wazungu watafurika na Dunia nzima watakuja Tanzania na pesa za kigeni kibao Gwajima atiwe moyo na ahamasishwe kufufua hasa wazungu.Waafrika wakifufuliwa hawana shukrani
 
suluhisho ni kuwapora wenye dollar na kuzitaifisha
 
Good analysis, but hii itafanya kazi kama we assume our economy in open economy, kwamba BOT ikiziuzia commercial banks dola watu wengi watanunua. Je watanunua ili kufanya biashara? Je biashara zitatoka? Mi nadhani kwanza serikali ihakikishe kuwa we have open economy yaan iruhusu inflow na outflow ya capital, coz few months sheria Imebana sana kutoka na dola na kuingia nazo. Pia cost of doing business is so high kwa sasa nachelea kusema model yako inaweza leta gharama kubwa ya currency stabilization kuliko kuacha forces za supply and demand kufanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimeiluliz maji ni standard liquid kupoozea injini
 
Nimeiluliz maji ni standard liquid kupoozea injini

Ukishaawwka impurity kwenye hsyo maji utaendelea kuyaita maji taliyichanganywa sijui na ni . Maji pia huchanganyawa na mafuta ili kupata kitu kinaitwa immersion , sijui utaendelea kuyaita maji tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…