Pre GE2025 Mapendekezo ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) juu ya Sheria za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais

Pre GE2025 Mapendekezo ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) juu ya Sheria za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa mapendekezo kwa Mamlaka za Serikali na Uchaguzi yanayoshauri kufanyiwa maboresho katika baadhi ya vipengele kwenye Sheria za Uchaguzi

Mapendekezo hayo ni

1. Serikali itoe ruhusa Kisheria kwa Watanzania wanaoishi nje ya Nchi kuweza kupiga Kura kwenye Uchaguzi Mkuu

2. Serikali ifanye marekebisho kwenye Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa kuweka takwa la Ulazima wa kufanya Midahalo ya Wagombea katika Uchaguzi

3. Serikali iwasilishe Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili kuruhusu baadhi ya Masuala ya Kiuchaguzi yafanyiwe maboresho

4. Serikali iwasilishe Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kama ilivyoainishwa kwenye Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

5. Serikali itekeleze Maamuzi ya Mahakama Kuu katika Shauri la Tito Elia Magoti dhidi ya Tume ya Taifa Uchaguzi iliyowapa Wafungwa Haki ya Kupiga Kura
 
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa mapendekezo kwa Mamlaka za Serikali na Uchaguzi yanayoshauri kufanyiwa maboresho katika baadhi ya vipengele kwenye Sheria za Uchaguzi

Mapendekezo hayo ni

1. Serikali itoe ruhusa Kisheria kwa Watanzania wanaoishi nje ya Nchi kuweza kupiga Kura kwenye Uchaguzi Mkuu

2. Serikali ifanye marekebisho kwenye Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa kuweka takwa la Ulazima wa kufanya Midahalo ya Wagombea katika Uchaguzi

3. Serikali iwasilishe Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili kuruhusu baadhi ya Masuala ya Kiuchaguzi yafanyiwe maboresho

4. Serikali iwasilishe Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kama ilivyoainishwa kwenye Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

5. Serikali itekeleze Maamuzi ya Mahakama Kuu katika Shauri la Tito Elia Magoti dhidi ya Tume ya Taifa Uchaguzi iliyowapa Wafungwa Haki ya Kupiga Kura
Pia Tuende mbali zaidi wagombea isiwe lazma wawe wanasiasa, Mtu anaweza kuwa kiongoz bila kuwa mwanasiasa tukapata mtendaji kaz mzuri zaid ya wapiga kelele.
 
Back
Top Bottom