Yafuatayo ni mapendekezo yangu kwa serikali kuhusu viwango vya mishahara vya watumishi wa umma.
1. Watumishi wenye stashahada/diploma basic salary iwe 1,200,000/=
2. Watumishi wote wenye shahada ya kwanza\degree basic iwe 1,700,000/=
3. Masters na PH D, hizi ziachwe tu kwenye vyuo vikuu na upande wa afya.
Walau viwango hivyo vinaweza kumfanya mtumishi aishi bila stress tofauti na sasa. Pia hivyo viwango vitumike kwa wizara na taasisi zote za umma tofauti na sasa hivi ambapo kila taasisi ina mishahara yake mambo yamekuwa vurugu tu. Degree hiyo hiyo taasisi Y inalipwa laki 7 wakati taasisi Z inalipwa 1.5 mill.
1. Watumishi wenye stashahada/diploma basic salary iwe 1,200,000/=
2. Watumishi wote wenye shahada ya kwanza\degree basic iwe 1,700,000/=
3. Masters na PH D, hizi ziachwe tu kwenye vyuo vikuu na upande wa afya.
Walau viwango hivyo vinaweza kumfanya mtumishi aishi bila stress tofauti na sasa. Pia hivyo viwango vitumike kwa wizara na taasisi zote za umma tofauti na sasa hivi ambapo kila taasisi ina mishahara yake mambo yamekuwa vurugu tu. Degree hiyo hiyo taasisi Y inalipwa laki 7 wakati taasisi Z inalipwa 1.5 mill.