Ngoja tuone mitano hii ya ngwe ya mwishoHuyo mzee mwenye roho mbaya hana mpango wa kuwaongezea mshahara hata kiduchu, sana sana anawaza kupunguza mshahara, kuongeza kodi, na kuwa'prune' wengi wenu.
Nenda kalime matikiti, hayo mawazo mengine achana nayo. Ushauri huu utakufaa sana.
Hawa ndio wanaoanza kumfundisha mtoto kuwa hii ni "a" na jinsi inavyoandikwa sio issue ndogoSawa... But kuna watu wanadhani walimu wa astashahada hawana uwezo wa kufundisha watoto wao,ngoja niwaeleze kitu hakuna walimu bora kama hawa wa cheti walimu wengi wenye digree wanajiona kuwa wao ni kila kitu ko hawastahili kuwafundisha watoto wetu but angalia maprofesa wengi wamefundishwa na walimu wa cheti na wale wa upe coz hawa ni walimu wanaotambua thamani ya ufundishaji na kile wanachowafundisha watoto wetu.
Mimi naongea hili nikiwa na ushahidi kuna mwl alikuwa anafundisha drs la 1&2 baadae akastaafu ikabidi tumpe mwl wa digree aliyetoma sec kuja msingi ajabu tulipata watoto wengi sana wasiojua kusoma tofauti na alivyokuwepo mwl wa UPE..
Unahisi haliwezekani au hakuna utayari wa kufanya hivyo?Kizazi Cha watanzania kijacho labda....lkn kwa hiki Cha uncle Maaagu....aaaahh thubutu
Hata Kigwangwala analima lakini kazi ya ubunge haachi mkuuHuyo mzee mwenye roho mbaya hana mpango wa kuwaongezea mshahara hata kiduchu, sana sana anawaza kupunguza mshahara, kuongeza kodi, na kuwa'prune' wengi wenu.
Nenda kalime matikiti, hayo mawazo mengine achana nayo. Ushauri huu utakufaa sana.
Duh!Hiyo itawezekana in 30 years.
Sio lazima kuishi vizuri ila walau umudu vitu basic kama malazi, chakula, mavazi n.k inatosha.Mshahara hujawahi kumfanya mtu aishi vizuri, ukilipwa hata laki lakini una kipato kingine unaishi vizuri sana.
Lini tutakuwa donor country?Labda tukishakuwa dona kantri.
Tukifika uchumi wa First Class au Division One Point OneLini tutakuwa donor country?
Inategemea na mishahara gani,Pogba analipwa milion kama 500 kwa wiki huyo haishi vizuri,Gavana wa BOT,Mkurugenzi wa Bandari,kamishna wa TRA mishahara yao isiwafanye waishi vizur kwl,Mshahara hujawahi kumfanya mtu aishi vizuri, ukilipwa hata laki lakini una kipato kingine unaishi vizuri sana.
Nahisi balaza la mawaziri litakuwa dogo maana mpaka sasa ni mawaziri watatu tu na nchi inaendelea.
Nchi inaendeshwa vyema na makatibu wakuu ambao ni wanataaluma.
kuhusu mishahara tuongeze tija kwanza lakini kuna tume ya mishahara aliyoiunda waziri mkuu sijui haina ukomo.
Huyo jamaa amekariri tu kuwa MTU hawezi kuishi kwa mshahara. Maximo aliyekuwa kocha wa taifa stars hakuwa hata na bustani ya mchicha na aliishi 5 star hotel muda wote akiwa Tanzania.Inategemea na mishahara gani,Pogba analipwa milion kama 500 kwa wiki huyo haishi vizuri,Gavana wa BOT,Mkurugenzi wa Bandari,kamishna wa TRA mishahara yao isiwafanye waishi vizur kwl,
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Nchi tajiri hii mkuu hakuna lisilowezekanaHaliwezekani hata kwa dawa
Tija gani inatakiwa hebu watuweke wazi tujue. Mimi naona tija imekuwepo kwa miaka mitano mfululizo.Nahisi balaza la mawaziri litakuwa dogo maana mpaka sasa ni mawaziri watatu tu na nchi inaendelea.
Nchi inaendeshwa vyema na makatibu wakuu ambao ni wanataaluma.
kuhusu mishahara tuongeze tija kwanza lakini kuna tume ya mishahara aliyoiunda waziri mkuu sijui haina ukomo.
Motivation speaker hao,mtu analipwa mil 36 kwa mwezi,we na genge lako la bangi utaipata liniHuyo jamaa amekariri tu kuwa MTU hawezi kuishi kwa mshahara. Maximo aliyekuwa kocha wa taifa stars hakuwa hata na bustani ya mchicha na aliishi 5 star hotel muda wote akiwa Tanzania.
Tuisila Kisinda au Chama wana maduka?
Mkuu walimu wa astashahada wameandaliwa kwenye vyuo vyao kumfundisha mtoto "a, e i,..."Sawa... But kuna watu wanadhani walimu wa astashahada hawana uwezo wa kufundisha watoto wao,ngoja niwaeleze kitu hakuna walimu bora kama hawa wa cheti walimu wengi wenye digree wanajiona kuwa wao ni kila kitu ko hawastahili kuwafundisha watoto wetu but angalia maprofesa wengi wamefundishwa na walimu wa cheti na wale wa upe coz hawa ni walimu wanaotambua thamani ya ufundishaji na kile wanachowafundisha watoto wetu.
Mimi naongea hili nikiwa na ushahidi kuna mwl alikuwa anafundisha drs la 1&2 baadae akastaafu ikabidi tumpe mwl wa digree aliyetoma sec kuja msingi ajabu tulipata watoto wengi sana wasiojua kusoma tofauti na alivyokuwepo mwl wa UPE..
waongezewe mishahara ya nini? wakati bado serikali inatekeleza mipango mingi ya maendeleo kama vile; ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali ya reli za kisasa, barabara na mabwawa ya umemeYafuatayo ni mapendekezo yangu kwa serikali kuhusu viwango vya mishahara vya watumishi wa umma.
1. Watumishi wenye stashahada/diploma basic salary iwe 1,200,000/=
2. Watumishi wote wenye shahada ya kwanza\degree basic iwe 1,700,000/=
3. Masters na PH D, hizi ziachwe tu kwenye vyuo vikuu na upande wa afya.
Walau viwango hivyo vinaweza kumfanya mtumishi aishi bila stress tofauti na sasa. Pia hivyo viwango vitumike kwa wizara na taasisi zote za umma tofauti na sasa hivi ambapo kila taasisi ina mishahara yake mambo yamekuwa vurugu tu. Degree hiyo hiyo taasisi Y inalipwa laki 7 wakati taasisi Z inalipwa 1.5 mill.
Utaifa ungeanza na wabunge pamoja na mawaziri wote walipwe laki 7 kama watumishi wengine.waongezewe mishahara ya nini? wakati bado serikali inatekeleza mipango mingi ya maendeleo kama vile; ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali ya reli za kisasa, barabara na mabwawa ya umeme
Tena yafaa waonyeshe zaidi uzalendo wa taifa lao kwa kupunguziwa mishahara yao na viinua mgongo vyao ili kusudi pesa nyingi za kuharakisha maendeleo ya kitaifa ziweze kupatikana vzr kwa maslahi mapana zaidi ya taifa letu. Tutangulize utaifa mbele.