Mapendekezo ya muundo wa baraza la mawaziri - 2010-2015


Mbona hili baraza halia tofauti na baraza lililopita, au ni hisia za mwandishi wa habari hii.
 
Jk bana yaani huachi vichekesho siju kwa nini
 

Kwa idadi ya ukubwa ambayo ni 40 sio mbaya, kwani lililopita walikuwa 60. Hii itatupunguzia matumizi ya serikali.
 
Mimi hata sina matumaini na hilo baraza jipya.
Sijui safari hii watapelekwa hotel gani ya kifahari kupewa semina ya jinsi ya kufisadi!
 
Wizara ya maji na umwagiliaji NA Wizara ya kilimo, chakula na ushirika!! seems the same thng to me...changanya zote..!!
 
Wiki hii mkulu anatarajiwa kutaja baraza la mawaziri wasiopungua 40 au chini ya hapo (si unajua anadesa sera za CHADEMA) sasa katika dodosa dodosa yangu natabiri wafuatao kuwepo katika baraz hilo...MAGUFULI...NISHATI NA MADINI, ADVOCATE RWEIKIZA...KATIBA NA SHERIA, SITA...MALIASILLI NA UTALII, MEMBE....MAMBO YA NJE, LOWASSA....MIFUGOLowasa-TAMISEMI, Rostam-fedha, Meghji-maliasili, Magufuli-samaki, Ngeleja-nishati na madini, Sitta-Africa mashariki, Membe-mambo ya nje, Ngeleja-mambo ya ndani, Kilango-wanawake, jinsi na watoto, RZ1, Janu........

JE wewe unatabiri au una hisi mkuu atawataja kina nani kuwa mawaziri???
 
tehhh mkuu bana unanifurahisha sana na utabiri wako
 
Kuna kila taarifa za uhakika kuwa mbio za kusaka ulaji wa wizara zinakamilika saa mbili na nusu kuanzia sasa. Wateule mlioenda mlingotini kuomba dua sasa tazameni juu mngojee kulia ama kucheka.
 
Chomeka CCTVdom ikulu nadhani wapo wadau watupe data sahihi. Au Mheshimiwa anatembea na list kwenye porch? ITAJULIKANA TUU!
 
mhh lazima nimo kwenye hiyo listi maana nimeroga vibaya sanaaaaa
 
Kama Rais ni yuleyule na WATEULE wake ni WALEWALE ilimradi hakuna chombo wala taasisi yenye kuhoji uteuzi huu. Huku kuchelewachelewa ni geresha tu na kuwaonyesha wateule wake nguvu alizonazo juu yao.
 
Jipya lipo shaka ondoa kijana si tumemchagua kwa miaka mitano mingine?
 
we chezo hujaloga kama mimi, nimeenda zaire lazima anipe wizara ya maliasili
 
akipewa mtu mwingine hiyo wizara yangu lazima nimtoe mtu busha,teh teh....................
 
Nalingojea na redio yangu pembeni nikitarajia baraza dogo lenye watu wenye ujuzi na uwajibikaji bila kusahau baraza dogo lenye mawaziri wachache...............
 

Attachments

  • blw.jpg
    38.4 KB · Views: 48
Ile wizara aloowahi kushika Kingunge enzi za Mkapa hairudi kweli? Maana CHADEMA wamewakalia vibaya hawa jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…