Hapana mkuu, tunasaidiana mawazo ya kuchagua slogan nzuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utani gani huu
Utani mwingine sio mkuu,embu muwe na kahuruma basi,,dah,,!
Mnapigwa kwenu si chini ya mbiliHabari wanamichezo na wapenda soka kwa ujumla.Poleni kwa yaliyoikuta Nchi yetu huko kwa kwa Makaburu.
Jumamosi ni siku ambayo tutaenda kuishangaza dunia kwa kuichakaza vibaya mno Kaizer siyo (lazima uamini)lakini ipo hvyo.Last time tulikuwa na Slogan WAR IN DAR,POINT OF NO RETURN na zingne nyingi.Safari hii unapendekeza tuingie na Slogan ipi?
Karibuni.