Mapendekezo ya slogan dhidi ya Kaizer Chiefs

Makaburu na Waizrael ni sawa nchi zao za asili hazijulikani ila wana nguvu maarifa na akili nyingi. Simba imesajili vichezaji viandunje majamaa yalikuwa yanatumie vichwa tuu
 
Hii ndio slogan muhimu
Your browser is not able to display this video.
 
Heshima acha irudi acha tukawspokee, acha tujaze uwanja kwa rangi za njano tukamilishe sherehe kama mbwai na iwe mbwai

Jana kuna mtu kaongea maujinga yake akiwa afrika ya kusini baada ya droo na namungo bila kujua atakutana na makaburu wenye asira kali wiofanikiwa kutwaa ardhi ya wazulu kwa mabavu? Acha waje ! acha waje tuu asira zote za baba yao tiefu efu kuahirisha mechi tunaipeleka uwanjani
 
Imani ni kitu ajabu sana. Yaani mmewekeza imani yenu kwa Manara,chochote atakachobuni yeye tayari mnakiweka mioyoni mwenu. Eti war in dar....!matakoooooo...
 
F..k 'em or kill 'em
 
Hapo muombe CAF wasogeze mbele mechi.
Slogan hazichezi mpira hata siku moja.
Manara katuaminisha hivoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Andaa timu vizuri
Haya ma slogan hayachezi mpira
 
Bado nawaza nitapindua vipi hyo meza.
ILA MUNGU yupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…