Haya ndo mapendekezo yangu kwa katiba mpya
1. Ardhi iwe ni suala la kikatiba kama ilivyoshauriwa na Tume ya Issa Shivji mwaka 1992
2. Kuwe na serikali 3 kama ilivyoshauriwa na Tume ya Jaji Kisanga/white paper
3. Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU apewe kinga(security of tenure) kama ilivyo kwa majaji
4. Cheo cha mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya vifutwe(kama sera ya CDM mwaka 2005)
5. Matokeo ya urais yaweze kuhojiwa mahakamani
6. Kuwe na tume huru ya uchaguzi
7. Rais mstaafu aweze kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyafanya alipokuwa Rais
8. Mbunge aruhusiwe kugombea vipindi viwili tu na asirudietena
9. Mgombea binafsi aruhusiwe ktk ngazi ya ubunge na udiwani tu
10. Viongozi wa dini/waliowahi kuwa viongozi wa dini wasiruhusiwe kufanya siasa za moja
kwa moja
11. Mawaziri wasiwe wabunge
12. Sera ya ujamaa isiwe sera ya taifa kama ilivyo katka ibara ya 3(1)
1. Ardhi iwe ni suala la kikatiba kama ilivyoshauriwa na Tume ya Issa Shivji mwaka 1992
2. Kuwe na serikali 3 kama ilivyoshauriwa na Tume ya Jaji Kisanga/white paper
3. Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU apewe kinga(security of tenure) kama ilivyo kwa majaji
4. Cheo cha mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya vifutwe(kama sera ya CDM mwaka 2005)
5. Matokeo ya urais yaweze kuhojiwa mahakamani
6. Kuwe na tume huru ya uchaguzi
7. Rais mstaafu aweze kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyoyafanya alipokuwa Rais
8. Mbunge aruhusiwe kugombea vipindi viwili tu na asirudietena
9. Mgombea binafsi aruhusiwe ktk ngazi ya ubunge na udiwani tu
10. Viongozi wa dini/waliowahi kuwa viongozi wa dini wasiruhusiwe kufanya siasa za moja
kwa moja
11. Mawaziri wasiwe wabunge
12. Sera ya ujamaa isiwe sera ya taifa kama ilivyo katka ibara ya 3(1)