Mapenz yananitesa

Mapenz yananitesa

Tatizo sigala

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
45
Reaction score
5
Habar wapendwa, mim nina rafik wa kike ambae nilitoka nae tu nje ya ndoa baada ya kutiana akaomba namba ya cm, akawa anapiga na kuniambia ananipenda ilhal anajua nina familia, nimejaribu kumkataa lakn naona kushndwa ingawa cjalala nae tangu cku hyo ila yeye amedai atafanya lolote hata kunitoa kafara du naogopa nifanyaje?
 
Kila dhambi itahesabiwa na kuhukumiwa
 
dah! Huo ndo utambulisho mwana? Tumia tafsida maana ilo neno ulotumia sio kabisa
 
Nenda jukwaa MMU ndo uombe ushauri huku siko.
 
karibu sana jf.pole kwa masahibu ya kujitakia
 
Jipange cz uyo mama atachokufanya utajuta arid
 
Habar wapendwa, mim nina rafik wa kike ambae nilitoka nae tu nje ya ndoa baada ya kutiana akaomba namba ya cm, akawa anapiga na kuniambia ananipenda ilhal anajua nina familia, nimejaribu kumkataa lakn naona kushndwa ingawa cjalala nae tangu cku hyo ila yeye amedai atafanya lolote hata kunitoa kafara du naogopa nifanyaje?

Peleka kule MMU mkuu.
 
Back
Top Bottom