Mapenzi 2012.

chriss brown

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
292
Reaction score
63
Nawatakia mwaka mpya mwema 2012,kwa wale wenzangu wanaotarajia kuoa mwakani mwezi wa sita kama mimi,nawatakia mapenzi mema kwa wake zenu.nashukuru jf imenisaidia kidogo kudumu na mamsup though tulikuwa na mapito,but tumeyashinda na tunasonga mbele.nawashukuru wote,happy new year kwenu nyote.
 
hongera kwa kukaa na mwanamke ambaye ujamuoa kidini ila kiserikali umemuoa..

na wewe pia heri ya mwaka mpya..
 
Mheshimu na kumjali mkeo
 
Brown ! Be serious calm ! God may lead you soon to achieve your goals.
 
nakutakia ndoa njema na mungu awatangulie na awe nanyi .............baraka zake na zikawe nanyi maisha yenu yote
AMEEEEEEEEEEEEEEEEN
happy new year
 
aisee hongera...ngoja na miye ntafute mke naona umri unasonga mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…