Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nawe ni Angelonimeona aibu sana sana
mi mwanaharakati kama pimbiNawe ni Angelo
Mi nakuona komredi kipepe, kuna siku kitoweo kitajileta kwenye kumi na nane zako ukipige rungumi mwanaharakati kama pimbi
nna nini kama lodilofa maneno tu hapaMi nakuona komredi kipepe, kuna siku kitoweo kitajileta kwenye kumi na nane zako ukipige rungu
Mi kama nyau, nakula bar tu sipiki.Embu malizia kupika kwanza
Uache ufilipino mambo ya kujifanya mnapeana cheni utotoni na ahadi kibao halafu mnakutana uzeeni na cheni zenu shingoni sio, unazibia watu msosi halafu nawe hauli ndo manini sasa?!!!Hahhha, Ev sio kwa kunisema huku