Mapenzi Chumbani

Anyway though looks like a joke, lakini yaliyomo ndani ni mafundisho mazuri sana kwenye mahusiano ya ndoa.....! I don't think ni kitu cha kuchekesha kivile bali cha kufundisha!

Nilimsikiliza Mch. Rwakatare wakati akifundisha wanandoa kwenye Semina mwaka huu ambapo mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndg Patrick Tsele alikuwa mgeni rasmi pia Waziri Simba alihudhuria, she said quite the similar words!

So mwenye macho tazama vizuri na unatishe hayo kwenye ubongo!

Cheers
 
Last edited:
Very nice article yakuingwa kwa kweli! Mbona ndoa zitakuwa ndoa bora na sio bora ndoa?
 

Sikujua kama huwa unasali kwa Mh Dr Rev Getrude Rwakatare!
 
Sikujua kama huwa unasali kwa Mh Dr Rev Getrude Rwakatare!

...hiyo ya mwanamama kulala naked with a bum touching a partner duh...😀 no wonder TiGO 'express yourself!'
 
Mbona ni mafundisho ya kawaida kwa wanaotaka kufunga ndoa kanisani na inasisitizwa sana ili kudumisha ndoa. Sex in marriage is holly, blessed by God.
 
Sikujua kama huwa unasali kwa Mh Dr Rev Getrude Rwakatare!

Ahaaaha ahaaaaah mkuu Masa,

Not really, hawa siku hizi wamesogeza huduma sana kwa kondoo waliopotea...huyu mama kila Alhamisi hurusha kipindi chake Channel 10 mkuu na Wednesday huwa tupo na mzee wa upako hapohapo channel 10! So huwa napenda kuwasikiliza siku mojamoja....mkuu!
 
Very nice article yakuingwa kwa kweli! Mbona ndoa zitakuwa ndoa bora na sio bora ndoa?

Nisamehewe kwa hili kama nakosea je huyo Rwakatare yake ni Ndoa Bora au Bora Ndoa,nauliza sbb najua kamkimbia mumewe Arusha.
 
The last parts of the article shows the THE WHOLE THING IS THE URBAN LEGEND. Mnaopenda kuamini kila kitu goodluck.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…