Maskini kwa maana ipi labda?
Kilema hawezi kufanya kazi?
Na kipimo cha huo umaskini unaoutaka ni upi?
Dah, Maskini anayetafutwa hivi anaweza kuwa humu eeh!!!!!
kuna case ya jaffarai na shyrose,ukiachwa bi dada utatukanwa weeeee.....tafuta mtu mnayeendana naye kitabia,kifedha nk...hii itakupa security na yeye pia atajiamini kama mwanaume ndani ya nyumba hivyo kuepusha migogoro/mifarakano inayotokana na insecurities/
Yani mimi napenda sana niolewe na maskini ili nimtunze mimi! Ukweli hakuna anachoweza kukosa kwangu na uzuri vyote ni haki na vya kupewa na Bwana. Sasa eti nimejaribu sana kutafuta maskini ila awe na sifa za kujiheshimu, mcha Mungu lakini sipati! Mama ameniambia eti watanitesa sana. Nisaidieni eti kweli watanitesa?