nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Hakuna cha kushangaza.....
<br />really?????????
<br />
<br />
Sijaona...
Hizo hizo alama za kuuliza
Duhhhh...
Nini kimekushangaaza.... ???
<br />wewe unaona ni normal to wish to get married<br />
and get dirvoced ???????
<br />
<br />
Ni wazo lake tu hilo.....
Na hivyo ndivyo aatakavyo
Yeye.... kilicho normal kwako
Yaweza kuwa si normal kwa mwingine....
Kila mtu ana dunia yake ..............
<br />and its normal in your world too??????
Na ndo maana wao kila siku wanaoana na kuachana, ili kurahisisha mambo wakaamua kuweka ndoa za mikataba kabisa!hao ndo wamarekani
so crazy......