Kmmk [emoji28][emoji28]
Bado sijapata ila nawazo la kuwafikishia wataalamu wazifanye hisia kuwa na switch unawasha ukitakaMzee ukipata nipe namim kdg mana sio kwatabu izi
Sidhani kama inasaidia hasa ukiwa umeshaikoroka akiliTumia muda wako kufanya kazi kwa bidii, michezo/mazoezi, sala na kupumzika.
Kwahiyo dawa ni atafute hela eeeh?Walau ukiwa na hela hayakuhangaishi sana, kama hauna yatakaribia kukutoa roho....
HalafuDownload sumu ya penzi mp3 kutoka kwa bell9.
Kweli wasambaa washamba haya wamkunda ndaiSensa iishe wanafunzi warudi shule, ili wasi*west* time na wajitahidi ku*east* time
Running away
Atafute tu kwakweli akipata, basi mapenzi yatamtafuta yenyewe
HahahhahahahhaAcha ujinga wewe
Said wa mwanza alikua na hela hapo unasemaje??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jamani wanajamvi za masiku nyingi.......
Anyway kunayeyote mwenye dawa ya kuondoa tamaa ya mapenzi yaani kupenda? Maana naona ni kuwest time tuu
Nilizonazo mimi zinanitoshaTafuta pesa boss