Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipe hela,nipe hela nipe mahelaaaaa nitakupa,nitakupepea,nitakubeba,nitakulamba nitaku..
Nipe hela.
Nasema tena, HELAA....

Ila jamani aliyeanzisha utaratibu wa hela ameatuachia matatizo sana.. usikute Dr. Slaa na Lipumba wangekua bado wapinzani bila hela.
 
Akili za kichadema hizi ,ujinga mtupu.

Hela zako hazinaga kazi mpaka ukalie kupelekea zawadi za gharama kwa mtu ambae hana history ya maana kwenye maisha yako?

Siku hizi mambo ni short and clear ,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huku tunaongea Lugha moja, ila kule siasani hapana aisee....

Mwanamke ni Hela...!!!

Tena unamtumia maneno machache tu...

"mambo vipi?

"Unakunywa nini"

"Nikuandalie sh ngapi?
 
Me mwanamke akinisikiliza tu ninachomwambia na kunijibu basi huyo kaliwa haijalishi Ana hadhi gani.

Ili akatae asinipe muda wa kuongea nae au asijibu nitakachokuwa na mwambia.

Mkuu nikishajua udhaifu wake basi kaliwa hata kama Ana PhD.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda staili hiyo inafaa kwa dar
Na maeneo ya masaki na msasani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…