Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Hizo kanuni ni NDEFU SANA.,nadhani unatumia mwezi au miwili KUFIKISHA UJUMBE.....kwa hawa WANAWAKE tulionao SASA wa BABY NITUMIE NAULI NIJE....it doesn't work....maana UTAZUNGUKA ZUNGUKA,,,VIZINGA NA VIBOMU vitavuruga MFUMO WOTE wa UTONGOZAJI...utajikuta UNA SKIP toka ya 3 skip to 10...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kanuni hizo juu 10 ni kwa mwanamke anayejitambua. nmeweka wazi kabisa hilo suala mapema. wale wengine huhitaji kufuata kanuni hizo. kuna wale ambao unamshika tu mkono unampeleka machinjioni.

 
Makundi yetu hujayausa Kabisa, single Mothers, na akina mama nanihii above 35.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 9 nimecheka kwa nguvu jaman...yaani wewe ni shidaaaaaaaaaaa(in Arusha voice)
 
Hii thread nikiendelea kuisoma itanipunguzia nguvu za kiume bure, usituchoshe tafadhali.Aliyekwambia kutongoza kuna formula nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…