Mapenzi mahusiano na urafiki


Ndugu huna haja ya kuuliza hapa..jiulize kwanza wewe mwenyewe umepataje interest ya kufanya huo utafiti...Anyway..

Mapenzi+ mahusiano = Life
 
Mapenzi ndio kila kitu, ukiangalia hata wewe unajituma kazini na kutaafuta pesa ili uwaridhishe na kuwatunza uwapendao, nina maanisha wazazi, mke, watoto, ndugu ,jamaa na marafiki.... lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…