Mapenzi-Maslahi/Malengo mbele kwanza.

Digaller

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2009
Posts
798
Reaction score
541
If Your Wife/Husband Ain't Give You Any You Got The legal Right To Get Some.
Epuka kupotezewa muda na fiance wako, kama hana mwelekeo mpige chini haraka afu ni-pm mimi.

MY TAKE: Akili za kupewa, Unachanganya na zako.
 
Nilifikiri kuna kitu kumbe bora nilale!
 
Pole saana na maudhi ulopata kwa huyo umpendae... ndo maisha worry not yatapita!
 
Hapa kuna mambo mawili. Maslahi na mapenzi yenyewe. Ni mambo yenye utata ndani yake kwani unaweza kuona unapendwa kumbe kinapendwa kile ulichonacho. Au unaweza kuwa na upendo wa kweli lkn ukaachwa kwasababu tu ya hali yako ya kimaisha. Lkn ni wengi waliokutwa na matatizo baada ya kusahau msemo huu 'mtaka nyingi na saba hupata mwingi msiba' na wakaukumbatia msemo wa 'mkono mtupu haurambwi' baada ya kupotosha maana yake halisi
 
i don't think you have any legal right ...
if you don't get any sort it out ..
if you cant sort it out by yourself
try canceling
you are not happy with canceling
Get a divorce .. Don't you try to get any when your marriage
...

I'm out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…