Mapenzi na plastiki..lol

Waache wajikomboe...kwani tatizo liko wapi?!Kwanini starehe ya mwenzio uiongelee kama kero kwako?!
Hhahahahahahaaaaahahahah lizzy bwana, umenifurahisha sana hahahahaaaaaaa
 
Kwa story niliyoisoma, mwanamke alikuwa anatumia na mumewe akiwepo, yaani huyo mume anahakikisha mkewe anaridhika na yeye akimsaidia, ni sad story niliisom a kwenye true love, mwanamme alipata ajali akavunjika kiuno.. kwa hiyo hawezi kukutana nae sababu ya maumivu makali wakaamua wanunue hilo doli
 
yah kwa mwanamke mwelewa atamuelewa mumewe hasa kwa kuzingatia kabla ya hayo matatizo alikuwa mzima akimpa dozi kama kawaida

hapa pia ur morality takes place kwani inasaidia kuamua nini ni kibaya na chema kwa muono binafsi.
 
Hhahahahahahaaaaahahahah lizzy bwana, umenifurahisha sana hahahahaaaaaaa
Wenyewe kila siku wanaimba wao (wanaume) wako wachache alafu wengine wakitafuta njia mbadala ya kujiridhisha bila kugombania wanaume wanalalamika.Sijui wanataka wanawake wapigane kwaajili yao...?!
 
yah kwa mwanamke mwelewa atamuelewa mumewe hasa kwa kuzingatia kabla ya hayo matatizo alikuwa mzima akimpa dozi kama kawaida
Shan. wewe kila cku mbish hata ili hulainiki dah we mkali. ila kiukweli hayana maana wala mvuto coz mwanaume ana temp yake inayofaa kwa mwanamke na mwanamke ana temp yake inayo faa kwa mume so plastick halina msaada wowote zaidi ya kuongeza mapenzi ya jinsia moja (kusagana kwa wanawake) ndio lengo kubwa la hayo maplastik. ila watake wasitake wanapenda majoto ye2 hata wanunue maplastiki 100 lkn kijasho watakitaka2
 
loooh! haya maisha bwana!! mimi nilikuwa mpiga punyeto mzuri sana kabla sijao, nimeanza kupiga nyeto since 1993 kwa wastani wa mara moja kwa siku mpaka nikaogopa labda nguvu zitapingua, asaiv nimeoa miezi 3 iliyopita, looh! kila siku nipo kwenye game, na game yenyewe sio ya kitoto. sipigi tena nyeto, nashauri wanaume wasiooa watumie hii njia kuepukana na magonjwa.
 
sibishi chavda nakuelezea kilichopo mkuu
 
Subiria miaka iende ndio utajuta vizuri
 



Rutah hii kali.... Dah!
 
Wenyewe kila siku wanaimba wao (wanaume) wako wachache alafu wengine wakitafuta njia mbadala ya kujiridhisha bila kugombania wanaume wanalalamika.Sijui wanataka wanawake wapigane kwaajili yao...?!

lakini hii siyo kwa wale ambao wapo bila wapenzi hata wenye wapenzi wamo tena sana..............
 
Rutah hii kali.... Dah!

Am glad you are back.........nil;ikuwa ninaandaa obituary sasa umeniwahi....................I am truly relieved.........welcome back home dear.............
 
Subiria miaka iende ndio utajuta vizuri

hahitaji kusubiria maana kesha funga trela la milele....ila swali baada ya miaka nenda rudi akijibinya mwenyewe aweza kweli kuridhishwa na kuridhisha.....................................................
 
Sisemi kitu. Stima zimekatika wakati yanga wanakabidhiwa kombe. Ngeleja na kikwete hutumia plastick kujiridhisha. Je watanzania tulioko gizani tutumie nasi maplastick kujipatia umeme?
 
Ni haki yao kama wanayolalamikia ina mantiki na kama wao wanaona ni sawa,ila ni dhambi kubwa sana kwa mwenyezi Mungu,na ifahamike kuwa hakuna dhambi ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…