yenyewe
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 621
- 94
Hivi ni sahihi kumfungulia bihashara mpenz wako ambae bado hamjaoana?
Na kama ni sahihi unafikiri kwa mtaji wa sh. milioni moja unaeza kumfungulia bihashara gani?
Samahani kwa kulileta huku maana nimeona linahusiana na mapenzi na uhusiano pia huku kuna watu active sana.:screwy:
Ahsanteni na asubuhi njema.
Na kama ni sahihi unafikiri kwa mtaji wa sh. milioni moja unaeza kumfungulia bihashara gani?
Samahani kwa kulileta huku maana nimeona linahusiana na mapenzi na uhusiano pia huku kuna watu active sana.:screwy:
Ahsanteni na asubuhi njema.