Mapenzi na usaliti

Grau

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
4,501
Reaction score
4,226
Kwamfano unadem ambaye unamkubali saaaana na umeisha jidhatiti kuwa ndo mwanamke ambaye utaishi nae, love ipo public kila mmoja anaelewa uhusiano wenu hadi imefikia hatua kutupia picha zake nyiiingi Facebook, umeweka dp yake whatsapp yaani mapenzi mubashara alafu ikatokea siku akakuambia sikutaki tena naomba tuachane nimeisha mpata wa type yang so achana na mimi, swali
Je, utafuta dp uliyo iweka whatsapp na picha zote za facebook au utaziacha?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwani hiyo dp imekuwa tattoo??
picha kama imeisha unasubiria maandishi ya kazi gani?
 
Picha tuuu.. Hahaa. Watu wanafuta hadi tattoo sembuse picha [emoji23]
 
Hakuna lenye mwazo likakosa kua na mwisho,picha unaweza kufuta jiulize utachukua mda gani kumtoa moyo na maumivu alokupa ya moyo,picha mbona dogo sana,wanasema staki mwenzie basi...
 
Unafuta tu na kukubaliana na uhalisia kwamba mapenzi yameisha.
Then iwe funzo next time.
 
Achaaaaa kabisaaaa utatamani kufuta kila kitu lakini ndio vile tena huwezi futa hadi mawazo ya watu.. Usiombee kukutana na hali hiyo.

Sina hamuuuuu
 

Niwe nakupenda au sikupendi, sikuweki FB, sikuweki insta, sikuweki DP whatsapp, sikuweki twiter, sikuweki JF.
 
Niwe nakupenda au sikupendi, sikuweki FB, sikuweki insta, sikuweki DP whatsapp, sikuweki twiter, sikuweki JF.
Raimundo [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilikuwa nafanya huo utoto enzi za upumbavu wangu... Kwa sasa ninafuata style kama hiyo. Simuweki popoteeee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…