Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Tumekuwa tukiona mahusiano ya aina tofauti tofauti ila common yakiwa yale ambayo mwanaume wana economic muscles ila kutokana na mabadiliko ya tabia nchi sikuhizi pia kumejitokeza mahusiano mengi ambayo wanawake wana financial muscles hali iliopelekea mahusiano ambayo mke anakuwa anaziba gap kubwa kiuchumi hali ambayo imekuwa inachukuliwa in a very negative way.

Mwanamke anayespend hela kwa mume au mpenzi wake kwa roho safi its obvious anampenda kwa dhati...japo anaweza kuwa na madhaifu mengine ila kwenye huba yuko legit by 100%. She really loves and wants her man to feel great about it. Kila mtu anajua pesa ni kama spice katika mapenzi hunogesha na kuleta furaha zaidi thats why mtu haoni tabu kutumia pesa zake na mtu ampendae.

Tabu iko kwetu sie ambao tunafosi mapenzi kwa malaya wanaoishia kutuchapa invoice kwa foleni. Wengi tunaishiaga kuponda tu kama kawaida yetu na kuwaita watu Marioo ila ukweli ni kwamba wapo wanaotamani hio bahati ya kupata penzi la dhati ila huwatokea ME wachache. The same goes to wadangaji wanaoponda na kushangaa wanawake wenzao wanawapaje hela wanaume zao bila kujua kuwa roho za kimaskini na kukosa access na hela ndio mtihani walio nao.😂😂😂

Kitu najiulizaga kama mapenzi ni ya wawili and involves 2 way traffic iweje mwanaume kumpa hela mwanamke iwe halali ila mke kumpa mume hela iwe kosa? Justify!
 
Sijui unazungumzia mapenzi yapi? Ya ndoa au haya ya kabla lakini ninachojua ni jukumu la Me kuprovide kwa Ke. Tofauti na hapo lazima Me atanyanyasika tuu hata akiwa na Ke anaye mpenda kwa dhati bado utanyanyasika. Wanaume tafuteni pesa hilo la msingi.
 
Mi bhanaaa kuna moja kanipenda Sanaa.
Ila sasa huyu dada alikuwa na pesa Sana na ukweli alikuwa anamwili mzuri ispokuwa alikuwa kujichubua.

Ndinga nzuri tuu haria yake maskini tako la nyani basi mwanaume Nika Naswa na dada huyu.Japo ki ukweli Moyoni hata hakuwepo wala niniii.Ila maisha mazuri pesa yake Gari yake Mzee Baba nikawa Mario ki ukwelii.Dada akawa anafunguka Sana Shida zake Ila Mimi na mchora tuu.

Ila sasa Mimi kila nikimuoneshea sign kama simuelewi anatumia pesa nyingi kama kunifanya nimpende basi mwanaume ikanibidi niwe mpole niendelee Kula mzigo na Haria metallic colour kuzunguka nayo town huku bi mama anaanda chapati na Supu ya kuku wa kienyeji bhana.

Ila nashukuru Mungu kutoka kwenye huu mtego maana bi dada alikuwa anakaba mpaka kero alafu ukimcheki viwango hanaa.Halipi lakini hiyo ela ndo ilikuwa inanizuzuaa bhanaa dah.

Yaan akitoka Job hataki nikae mbali nae nlipata taabu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila dah afadhali maisha ya Umario ya Kisengerema sanaaa.
 
Sijui unazungumzia mapenzi yapi? Ya ndoa au haya ya kabla lakini ninachojua ni jukumu la Me kuprovide kwa Ke. Tofauti na hapo lazima Me atanyanyasika tuu hata akiwa na Ke anaye mpenda kwa dhati bado utanyanyasika. Wanaume tafuteni pesa hilo la msingi.
Hii inahusu kotekote wachumba na wanandoa! Kwanini huwa mnakimbiliaga kuhisi kuwa ME akizidiwa kiuchumi na mkewe basi yeye anakuwa hana hela? Ilihali anaweza kuwa ana shughuli rasmi anaifanya ila tu kipato chake kiko chini kidogo. Sidhani kama mwanamke anaweza kuwa na guts za kumdharau mtu wa aina hii
 
Hela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.
 
Hii inahusu kotekote wachumba na wanandoa! Kwanini huwa mnakimbiliaga kuhisi kuwa ME akizidiwa kiuchumi na mkewe basi yeye anakuwa hana hela? Ilihali anaweza kuwa ana shughuli rasmi anaifanya ila tu kipato chake kiko chini kidogo.
Hiyo ya kusaidia inaeleweka na naamini wanawake wanafurahia sana kusaidia wapenzi wao. Ila isiwe ni mazoea na wajibu wa mwanamke wa kila siku. Mwanaume rijali ni yule ana provide kwa famiilia na mpenzi wake. Ila wengi wa Me sikuhizi wanapenda mteremko kitu ambacho ni kibaya.
 
Hiyo ya kusaidia inaeleweka na naamini wanawake wanafurahia sana kusaidia wapenzi wao. Ila isiwe ni mazoea na wajibu wa mwanamke wa kila siku. Mwanaume rijali ni yule ana provide kwa famiilia na mpenzi wake. Ila wengi wa Me sikuhizi wanapenda mteremko kitu ambacho ni kibaya.
Sawa ila urijali hauhusiani na ku provide zaidi. Urijali ni kutungisha mimba.

Mke yuko PSI ana earn 7M kwa mwezi wewe uko kwa mchina una earn 1.5M na mwanamke kakuelewa mnapendana. She spoils you with her clean heart. You go places, mnapanga strategic plans na ku execute mchango mkubwa ukitoka kwa mke. Hali ikiwa hivi walimwengu wanachukia? Why?😂😂😂?

Personally mke au mpenzi anaeweza ku spend hela yake on you anakupenda kweli because most women can't do that! Hata wewe kama unaumia hela yako ukimpa mpenzio you must be damn selfish.
 
Hela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.
Hahahah ni kweli ila huyo mke ni selfish wa kiwango cha SGR 😂😂😂 hakupendi mkuu. Amini kwamba.
 
Hahahah most of the times wale wanawake wanaoonesha mapenzi kwetu sio tunaowapendaga by 100% ila katika maisha lazma ujifunze kuridhika sababu mungu huwa hakupi utakacho ila unachostahili tu.

Kwahio mkuu ulikuwa unafungiwa ndani kama mwali tu 😂😂😂! Hio biashara hapana
 
Sijui unazungumzia mapenzi yapi? Ya ndoa au haya ya kabla lakini ninachojua ni jukumu la Me kuprovide kwa Ke. Tofauti na hapo lazima Me atanyanyasika tuu hata akiwa na Ke anaye mpenda kwa dhati bado utanyanyasika. Wanaume tafuteni pesa hilo la msingi.
Unaongelea mapenzi ya kws mtogole lakini.

Wanawake wanaonyanyasa waume kwasababu wanawazidi uchumi ni wale washamba hasa wa kibongo.
Panua mipaka usizungumzie hawa wa bongo pekee
 
Sio mke nshapiga chini yeye anachowaza ni hela yangu tu ukitaka afanye kitu utamsapoti hataki anasema atafanya peke yake. Mtu mbinafsi simuwezi kabisa.
Bora mkuu, hapo palikuwa hamna mtu kabisa. Ukiona upo na mtu kila kitu anaita changu jua ni selfish na atakusumbua sana maishani. Nature yao hawa hupokea tu sio kutoa

Simu yangu,hela yangu, gari langu, vitu vyangu, nyumba yangu, vyombo vyangu!
Ogopa sana mtu ambaye kauli hizo hazimkauki kinywani.
 
Komamanga siwezi kuja kumuokota wa hivyo! Kwanza hata nikimpata namuogopa..😂
Kinizidi hela si ntanyanyasika mimi na nilivyo mbavu mbili niwe tena mbavu mbili nyengine hiyo si itakuwa ni skeleton sasa!

Ila kusema kweli nje ya masihara mweka mada dunia unayoizungumzia binafsi sijawahi iishi! Na hata nikifikiri inaniwia ugumu maana hao viumbe nawapenda Ila siwaamini sana! Kukugeuka na kukuzarau tarajia kwa hali hiyo!.
 
Kabisa. Ngoja waje wadangaji watoe mapovu na wale wanaume wasio na mvuto wanaolazimika kutumia pesa.sisi ambao tupo smart and good looking tu enjoy mapenzi kwa furaha. Wale wenye sura za zinjathropas watakwambia ndo uana ume. Mapenzi ni kupeana na mapenzi ni two way traffic.
 
Hela ya mwanamke ni ya kuogopwa sana, unaweza mpa mwanamke wako 100k then baadae kdgo mkapata changamoto mfano luku ikaisha ukamuomba akupe elfu 5 kwenye hela uliyompa ili utatue hiyo changamoto(mfukoni huna kitu una nauli ya kuendea kwenye mishe zako tu). Atakupa lakini ndani itamuuma sana nasema ivi kwa experience mkuu hela ya Ke ni chungu mno ndio maana hata wengi zawadi zao kwa wanaume wao ni vitu vidogo dogo tu [emoji23][emoji23] tusoksi twa buku.
Ahahaahah
 
Back
Top Bottom