Kitambo sana wazee wa Kazi.
Kwanini mapenzi au ndoa nyingi huwa na migogoro pale uchumi wa Sisi WANAUME kushuka?
Nyinyi wanawake ambayo mpo kwenye ndoa Na ambao hampo kwenye ndoa hebu tujuzeni.
Kuna wale ambao wameolewa bila bikra watakuja kutukana hapa.
Mods tafadhali msifute huu uzi.