Mapenzi ni kama sumu usijaribu kuonja hata kama imeisha muda wake wa matumizi

Mapenzi ni kama sumu usijaribu kuonja hata kama imeisha muda wake wa matumizi

Mnyiramba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
1,141
Reaction score
3,119
Naam hapa nazungumzia ile hali ya kumtongoza Mwanamke kwa leo tu la kula kimasihara yaani hit&run!

Yaani hii kitu ni hatari mno maana unajikuta unamtongoza Mwanamke ambaye sio type yako kwa lengo tu la kufake mapenzi lakini mapenzi yalivyokuwa ya ajabu unajikuta umempenda kweli hadi unahisi kuna imani za kishirikina. Yameshanitokea zaidi ya mara mbili, chaguo langu mara zote ni Mwanamke mrefu mwembamba!

Lakini mara kadhaa nimejikuta na fake kumtongoza Mwanamke mfupi ili kujifurahisha tu maana najua sio chagua langu ila naingia kimasihara lakini nashindwa kutoka kimasihara!

Mapenzi ni kama sumu usiijaribu hata kama ime expire date.
 
USITUTISHE

Wewe kama huwezi ebu tupe Namba zao Bwasheee
 
Back
Top Bottom