Hilo haliwezi kutokea kamwe mama, hebu nakuomba ujaribu tu kusoma signature yangu na ukiweza kuijibu jibu zuri, itakuwa vyema kweli siku ya leo.
I m in love with............you
WILL YOU MARRY ME PLEASE <!-- google_ad_section_end -->
hahahaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
I m in love with............you
WILL YOU MARRY ME PLEASE <!-- google_ad_section_end -->
hahahaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
Mbona unanicheka tena mama,,,,......?
Na hapo ndio nilipozidi kukupenda,maana kikwetu wakati mnaongea mwenzio akicheka tu basi ujue ujumbe wako umekubaliwa kwa hiyo asante sana kwa kunikubalia ombi langu, tuanze maandalizi tu sasa au unasemaje.
Msg sent and delivered,
right place, right time
The Following User Says Thank You to LD For This Useful Post:
Paka mweusi (Today)Pokea na hii basi :A S-rose::A S-rose::A S-heart-2::A S-heart-2: :A S kiss::A S kiss:.
Nadhani umeshawahi kusikia wimbo mmoja maarufu sana miaka ya nyuma, sikumbuki uliimbwa na bendi ipi ya bongo. Maneno yake ni haya, Dunia njema wawili wawili hata ndege hukaa wawili.
Hakika leo imekuwa siku njema kabisa katika maisha yangu,twenzetu Pm basi tukamalizie huko naona hapa watatuwekea uthiku.
Msg sent and delivered,
right place, right time
Sema basi japo neno moja tu, nami roho yangu ipate tulia.
Hivi PM ndio jina lako eeh, fumbo mfumbie mjinga mwerevu........
PM yaweza kuwa Paka Mweusi au Private Message kwa wakati mmoja inategemea tu na vile ulivyoielewa.
Hawa nao.......
Hakika leo imekuwa siku njema kabisa katika maisha yangu,twenzetu Pm basi tukamalizie huko naona hapa watatuwekea uthiku.
Mkuu wala hujakosea kwa wimbo huo hata mimi naukumbuka ila bendi ndio sikumbuki,si unaona na mimi niko karibu kupata mwenza hapa......
Twenzetu
Sema basi japo neno moja tu, nami roho yangu ipate tulia.
Umetizama inbox yako?
haha haha Twende Paka Mweusi kuondoa kiwingu/uthiku, nshaiona kule Paka mweusi nshakujibu.
Paka mweusi......Afrodenzi hajambo.......anaendeleaje?
Waaahahahaaaa ahaaaaa ohohohooooo yahaaaaaaaa yehu enheneeeeeeee tehe tehe teh! ...........uuuuuuuuuuuuuuuuWI! Mbavu sina mie! Umembamba laivu shemejiyo akichakachua, kazi kwako sasa-utachukua hatua gani?.......uskubali yaishe kirahisi na vijisenti tu!..............:redfaces: