Mapenzi ni kitu muhimu sana.

Niko kwene mazoezi, nitatangaza vita muda wowote, we nihakikishie upo upande wangu tu.
Manake bado sijajua msimamo wako, mara kaniombee msamaha,
Na mihela umetoa,



Usitangaze vita mama,twende polepole yataisha tu haya,na kuhusu hela na wewe chukua hizi basi.

 
Usitangaze vita mama,twende polepole yataisha tu haya,na kuhusu hela na wewe chukua hizi basi.



Mmmmmh mapenzi ya hela jamani,
Siku huna hela sijui itakuwa je.

Duu naogopa, kufanya maamuzi katika msingi wa pesa.
Ingawa nazo nazihitaji, lakini nataka zaidi mume mwema kwangu

Akiwa mwema kwangu, pesa itatafutwa na kupatikana tu.
 
Mmmmmh mapenzi ya hela jamani,
Siku huna hela sijui itakuwa je.

Duu naogopa, kufanya maamuzi katika msingi wa pesa.
Ingawa nazo nazihitaji, lakini nataka zaidi mume mwema kwangu

Akiwa mwema kwangu, pesa itatafutwa na kupatikana tu.




Basi ondoa shaka huyo umempata.
 
Basi ondoa shaka huyo umempata.


Naogopa, naona unatanguliza sana pesa bwana,
Isije ikawa ujasiri wako uko kwene pesa,

Yaani ile ya utanikubali tu, pesa ninayo, huna ujanja.
 
Naogopa, naona unatanguliza sana pesa bwana,
Isije ikawa ujasiri wako uko kwene pesa,

Yaani ile ya utanikubali tu, pesa ninayo, huna ujanja.




Wala usiniogope mama ni kawaida tu katika maisha,umesoma signature yangu lakini?
 
Wala usiniogope mama ni kawaida tu katika maisha,umesoma signature yangu lakini?


Utusamehe makosa yetu,kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.....
Jesus Christ..0-33AD.
<!-- google_ad_section_end -->
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…