Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kuleft group mana yake nini sio mara ya kwanza kusikia hili neno🙄 huyu ka-left kwenye group?
Shem upindeHizi comments sasa,mh ila Shem mnene
Maana ake kama ni me si mwanaume tenaaaHii kuleft group mana yake nini sio mara ya kwanza kusikia hili neno
Maana yake kwa lugha rahisi mtu kashavuliwa ubingwa, au kaumaliza mwendoHii kuleft group mana yake nini sio mara ya kwanza kusikia hili neno
Oooh yaani shoga kwa lugha nyingine sioMaana ake kama ni me si mwanaume tenaaa
Ahahahha mbona mna misemo ya ajabu sasa kuvuliwa ubongwa ndo nini mkuu daaahMaana yake kwa lugha rahisi mtu kashavuliwa ubingwa, au kaumaliza mwendo
Ni hivo kiufupiiOooh yaani shoga kwa lugha nyingine sio
Ahahaha et kaleft..Ni hivo kiufupii
Siku hizi kuna vimisemo vya ajabuajabu sanaaa mkuu 😂😂😂Ahahaha et kaleft..
Kuna jamaa kasema et amevuliwa ubingwa ahaahhahaha
Et kaumaliza mwendoSiku hizi kuna vimisemo vya ajabuajabu sanaaa mkuu 😂😂😂