Twahil kaupa
Member
- Nov 14, 2022
- 43
- 50
We jiulize toka enzi ya adamu mpaka sasa kuna watu wangap walipitia km yako!?? Je walifanya maamuzi gani
Ndugu kila kinachotokea ktk mapenz ndio mapenz yenyewe we chukulia ivyo ukipendwa au ukitendwa we chukulia kawaida tuu
Ukihongwa Sana au ukichunwa Sana kawaida tuu
Yaan hakuna jipya watu washakua Malaya kuliko uyo unaemuona malaya,watu washapigwa Wangine kufa weng kukosa viungo alaf Ni kawaida tuu..
Ila tu ukiona umeshindwa usilazimishe mambo acha utaumia alaf utaona kawaida tuu mana MAPENZ NI YALEYALE TUU
Ndugu kila kinachotokea ktk mapenz ndio mapenz yenyewe we chukulia ivyo ukipendwa au ukitendwa we chukulia kawaida tuu
Ukihongwa Sana au ukichunwa Sana kawaida tuu
Yaan hakuna jipya watu washakua Malaya kuliko uyo unaemuona malaya,watu washapigwa Wangine kufa weng kukosa viungo alaf Ni kawaida tuu..
Ila tu ukiona umeshindwa usilazimishe mambo acha utaumia alaf utaona kawaida tuu mana MAPENZ NI YALEYALE TUU