Twahil kaupa
Member
- Nov 14, 2022
- 43
- 50
Hakuna ambaye hajawai kuachwaa ila kwa kuandika haimaanish nimeachwaHujapigwa na 🔨ya utosi kweli😀
Yea mapenzi ni haya haya..unaempenda hakupendi mtoto wa watu kumbe anapenda wali ndondo..
Anaekupenda wewe humpendi Maskini ya Mungu unajiwazia zako gambe muda wote😀😀
Ndio hivyo lakini
Kujiua ilo Ni tatzo la akili si kwa sababu ya mapenzUsijiue
Are you okay? Usikae peke yako kaa na washkaji muda wote.Kujiua ilo Ni tatzo la akili si kwa sababu ya mapenz
Kwahiyo umeachwa?[emoji125][emoji125]
Fresh mwana..pamoja sana👊🏿Hakuna ambaye hajawai kuachwaa ila kwa kuandika haimaanish nimeachwa
Mkuu nimeandika tu bhn sjaachwa Na wala siwaz kuachwa mn pia sjapenda mtu.ila kuna mtu nilisoma alichoandika humu ndio mana nami nikapata wazo hiloAre you okay? Usikae peke yako kaa na washkaji muda wote.
Pamoja mkuuuFresh mwana..pamoja sana👊🏿
Fureeesh💃Pamoja mkuuu
Hapana sjaachwa mana ata hayupo wa kuniachaKwahiyo umeachwa?
Mwengine anakupenda kumbe we unapenda zako chapati🥲Hujapigwa na 🔨ya utosi kweli😀
Yea mapenzi ni haya haya..unaempenda hakupendi mtoto wa watu kumbe anapenda wali ndondo..
Anaekupenda wewe humpendi Maskini ya Mungu unajiwazia zako gambe muda wote😀😀
Ndio hivyo lakini
Tena chapati za jana yake zilizolala zimekakamaa kishenzi 😀Mwengine anakupenda kumbe we unapenda zako chapati🥲