Mapenzi sijui mahusiano sio poa ...
Mara yule anataka aolewe wakati uwezo wa kuishi na mtu sasa bado kama kijana ....mimi mwenyewe tu hapa pasi ndefu kawaida ....kila siku swali hilo hilo ooh nyumbani utakuja lini....?
Huyu nae nitakupa siku tukioana ukija kwetu.... khaaaa
Am tired sasa, em nile break nienjoy kidogo nachokipata mwenyew
Stress tupu, shabbash....
Leo nimecomnent sired nyingi Sana humu ....
Hakika ni siku ngumu mno.🍺🍻
Mara yule anataka aolewe wakati uwezo wa kuishi na mtu sasa bado kama kijana ....mimi mwenyewe tu hapa pasi ndefu kawaida ....kila siku swali hilo hilo ooh nyumbani utakuja lini....?
Huyu nae nitakupa siku tukioana ukija kwetu.... khaaaa
Am tired sasa, em nile break nienjoy kidogo nachokipata mwenyew
Stress tupu, shabbash....
Leo nimecomnent sired nyingi Sana humu ....
Hakika ni siku ngumu mno.🍺🍻