Bro hii kitu imeshawahi nitokea kuna demu nilimkosa kutokana na kujifanya mwema kwake dah sikuamini asee ...... Nilikosa mazima, alikua ashakula hela zangu kibao yani. Mbaya zaidi ilifika time hadi akawa anasifia baadhi ya washkaj zangu hao ambao ni "wahuni, wahuni" tu aisee. Acha tu hawa Viumbe mkuu.Nooo..
wanawake hawapendi kuonekana ni malaya , hawapendi jamii iwaone vingine, nahawapendi uwe "Mtakatifu" HAWAPENDI WAJUTIE KUSEX NAWEWE YAAN AJIONE MDHAMBIII SANA.
Kwa hivo anatengeneza ulinzi ...tena kama ana Bwana au Mume ,ndo kabisaa anajitengenezea ulinzi mkubwa ...
[emoji117]Inaweza kutoka ndani yake
[emoji117]inaweza kutoka nje ( kuogopea jamii,rafiki)
[emoji117]ukaitengeneza wewe mwenyewe ( Umemuonyesha Utakatifu sanaaa + umemtongoza kwa Ustaharabu mwingi)
WANAWAKE WANATAKA MWANAUME AMBAYE ATASHEA NAYE "DHAMBI YA SEX"....sasa ukimtongoza kitakatifu kwamba Tendo la ndoa. ..tayar umemtoa kwa ramani...ATAKUSUBILISHA SANA TU.
Nmeolewa
Sipendi hizo mambo
Niacheee
Mimi sio mwanamke wa ivoo
Komaaaa ulidhan mie malaya ulowazoea??
Hizi ni kauli za "KUJILINDA".
ANYWAY UKIJUA KUYAPANGUA UKAMFANYA AJIHISI SALAMA, KM UMEKUTANA NAYE ASUBUHI, BAADA YA MASAA KADHAA AU JIONI UNAKULA TUNDA.
[emoji818][emoji818]WANAPENDA SEX KULIKO HATA SISI WANAUME. Hapa Ma Bad Boys pekee ndio wataelewa hapa mwishoni.... 'wanaume watakatifu wazee wa Baby I love you'...hawawezi nielewa.
Khee usiniambieMapenzi sijui mahusiano sio poa ...
Mara yule anataka aolewe wakati uwezo wa kuishi na mtu sasa bado kama kijana ....mimi mwenyewe tu hapa pasi ndefu kawaida ....kila siku swali hilo hilo ooh nyumbani utakuja lini....?
Huyu nae nitakupa siku tukioana ukija kwetu.... khaaaa
Am tired sasa, em nile break nienjoy kidogo nachokipata mwenyew
Stress tupu, shabbash....
Leo nimecomnent sired nyingi Sana humu ....
Hakika ni siku ngumu mno.🍺🍻
Sawa miss Pablo ....au nimekaa kitumishi tumishi sana ....maana naona haya maisha tumekua classified ....kuna wale wandoa na wakupakua tuPole mkuu. Sex aint everything though. Misimamo pia ni muhimu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sawa mkubwa...Bado mtoto wewe!
miaka ya kukaribia kuoa ......maturity age ...Umri wako tafadhali!!
kwakweli sometimes sielew how life goes on...khee usiniambie
Ebhneee huko shehe wangu mm situmii ..Ndo maana mimi napiga chupa tu,sina time na mapenzi
Jasho likutoke. Ndo maandiko yatakavyoSawa miss Pablo ....au nimekaa kitumishi tumishi sana ....maana naona haya maisha tumekua classified ....kuna wale wandoa na wakupakua tu
tukiuliza cc tunaambiwa njoo home Kwanza ...
Bia tamuAsikuambie Mtu tu tu...