"Mapenzi Ulaya, Afrika ni biashara." Hii kauli ni sahihi?

"Mapenzi Ulaya, Afrika ni biashara." Hii kauli ni sahihi?

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Maeneo mengi ya bara la Afrika, mapenzi yanatazamwa Kama sehemu ya kuchumia Mali.

Mfano mahari kubwa, kuhonga Mali na wanawake kujiuza, haya yote yanadhihirisha kuwa wanawake wa kiafrika hawana mapenzi ya dhati mbali wako after money

Pia hata wazazi wengi wa mabinti wa kiafrika wanapenda Sana mabinti zao waolewe na wanaume wenye pesa ili wapate mahari kubwa.

Lakin kwa wenzetu Ulaya Hali hii inatazamwa kuwa tofauti kidogo, wenzetu wanamapenzi ya dhati na hawako after money, ndio maana wanawake wengi wa kizungu wanawapenda hata wanaume maskini wa kiafrika, nikiwemo mimi. Nimebahatka kupendwa na Mjerumani.

Karibun kwa maoni na mitazamo yenu Wanajamii forum:
 
Maeneo meng ya bars la Africa mapenz yanatazamwa Kama sehem ya kuchumia Mali,mfano mahari kubwa,kuhonga Mali na wanawake kujiuza, haya yote yanadhihirisha kuwa wanawake wa kiafrica hawana mapenz ya dhat mbali wako after money
Pia hata wazaz weng wa mabint wa kiafrica wanapenda Sana mabint zao waolewe na wanaume went pesa ili wapate mahar kubwa.
Lakin kwa wenzetu Ulaya Hali hii inatazamwa kuwa tofaut kidogo,wenzetu wanamapenz ya dhat na hawako after money,ndio maana wanawake weng wa kizungu wanawapenda hata wanaume masking wa kiafrica, nikiwemo mim,nami nimebahatka kupendwa na Mjerumani.
Karibun kwa maoni na mitazamo yenu Wanajamii forum:
Acha kupotosha watu, baadhi ya wanawake wanamapenzi ya kweli
 
Ulaya ndiyo wamepotoka. Propaganda za usawa wa kijinsia ndizo ziliwafutia tamaduni za kulipa mahari.

Hata hivyo, kwa Africa Ni Haki ya mzazi kumtafutia binti yake mwanaume anayejiweza kiuchumi kwa sababu hakuna mtu anayependa kuona binti yake anateseka.

Swala la sisi kuona Kama tunaonewa tukidaiwa mahari ilihali hatupo tayari kuupokea mfumo was maisha ya kizungu( usawa wa kijinsia), ni kukosa hoja.
 
Ulaya ndiyo wamepotoka. Propaganda za usawa wa kijinsia ndizo ziliwafutia tamaduni za kulipa mahari.

Hata hivyo, kwa Africa Ni Haki ya mzazi kumtafutia binti yake mwanaume anayejiweza kiuchumi kwa sababu hakuna mtu anayependa kuona binti yake anateseka.

Swala la sisi kuona Kama tunaonewa tukidaiwa mahari ilihali hatupo tayari kuupokea mfumo was maisha ya kizungu( usawa wa kijinsia), ni kukosa hoja.
Ahsante kwa maon mazur mkuu!! Vip kuhusu mapenz ya dhati wap panaongoza Ulaya au Africa? Vip kuhusu wanawake wa kiafrica kujiuza na Ulaya ipo hii??
 
Ahsante kwa maon mazur mkuu!! Vip kuhusu mapenz ya dhati wap panaongoza Ulaya au Africa? Vip kuhusu wanawake wa kiafrica kujiuza na Ulaya ipo hii??
Sijawahi kufika Ulaya. Ninachojua hapa bongo Kuna wanawake Wana upendo wa dhati. Kinachoibua utapeli wa mapenzi ni ugumu wa maisha ambao upo mahali popote, nadhani hata Ulaya
 
Sio kweli ila SHULE inazidi kukua barana Africa. Pro was uzinzi na umalaya wapo huko Hadi wamefkia hatua za kuandika vitabu vya ajabu kuhusu kuwateka watu kihisia na kusafanya watumwa wako.
Level kubwa ya ushetan ( Maigizo ) ipo Europe
 
Sio kweli ila SHULE inazidi kukua barana Africa. Pro was uzinzi na umalaya wapo huko Hadi wamefkia hatua za kuandika vitabu vya ajabu kuhusu kuwateka watu kihisia na kusafanya watumwa wako.
Level kubwa ya ushetan ( Maigizo ) ipo Europe
Ahsante kwa maon mazur,vip unanishaurije kuhusu kumuoa Mjerumani alienpenda au niachane nae atansumbua baadae??
 
Ulaya ndiyo wamepotoka. Propaganda za usawa wa kijinsia ndizo ziliwafutia tamaduni za kulipa mahari.

Hata hivyo, kwa Africa Ni Haki ya mzazi kumtafutia binti yake mwanaume anayejiweza kiuchumi kwa sababu hakuna mtu anayependa kuona binti yake anateseka.

Swala la sisi kuona Kama tunaonewa tukidaiwa mahari ilihali hatupo tayari kuupokea mfumo was maisha ya kizungu( usawa wa kijinsia), ni kukosa hoja.
Uongo
 
Back
Top Bottom