mapenzi upuuzi.

mapenzi upuuzi.

Nini shida jaman
nimpendaye ananizingua balaa, niko serious kumuoa lakin majanga tuu.
anayenipenda hata simzimii kabisa.
Hakuna mchawi wako hapo zaidi ya Moyo....tehteehh [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una hela?? Kama huna hela mkuu we mpende anaekupenda tu
 
Back
Top Bottom