Kuna Dean wa Faculty ya ICT katia chuo kimoja (sitotaja jina la chuo) alikuwa anasimulia maswaibu anayoyapata katika kazi yake.
Alisema ya kwamba anahudumiua wanachuo 120, takribani 90% ya wanachuo walio chini yake wanachuo, hususani wanachuo wa mwaka wa tatu (walio mwaka wa mwisho wa masomo) hao wameona.
Wanachuo hao wameona au kwa ndoa rasmi au kwa mmoja kuhamia kwa mwingine kwa muda mrefu (wanaishi pamoja) bila hata ya wazazi/walezi wao kujua. Kati ya 'wanandoa' hao, 80% ya wasichana ni wajawazito, wengi wao wakiwa ni wametoka sekondari moja kwa moja.
Kutokana na ndoa na ujauzito wanandoa hao wamekuwa wakipangiana muda au vipindi vya kuhudhuria masoma, kisha hufundishana wao kwa wao. Wasichana waliopata ujauzito kwa mara ya kwanza, kutokana na kashikashi za kulea ujauzito na ugumu wa masomo, wanatamani kuahirisha masoma.
Kibaya zaidi ni kwamba ufaulu umepungua sana (kwa kuwa hawahudhurii masomo ipasavyo) kiasi cha kutishia utendaji kazi wao baadaye.
Je kwa hali kama hii tutarajie wafanyakazi bora?
Alisema ya kwamba anahudumiua wanachuo 120, takribani 90% ya wanachuo walio chini yake wanachuo, hususani wanachuo wa mwaka wa tatu (walio mwaka wa mwisho wa masomo) hao wameona.
Wanachuo hao wameona au kwa ndoa rasmi au kwa mmoja kuhamia kwa mwingine kwa muda mrefu (wanaishi pamoja) bila hata ya wazazi/walezi wao kujua. Kati ya 'wanandoa' hao, 80% ya wasichana ni wajawazito, wengi wao wakiwa ni wametoka sekondari moja kwa moja.
Kutokana na ndoa na ujauzito wanandoa hao wamekuwa wakipangiana muda au vipindi vya kuhudhuria masoma, kisha hufundishana wao kwa wao. Wasichana waliopata ujauzito kwa mara ya kwanza, kutokana na kashikashi za kulea ujauzito na ugumu wa masomo, wanatamani kuahirisha masoma.
Kibaya zaidi ni kwamba ufaulu umepungua sana (kwa kuwa hawahudhurii masomo ipasavyo) kiasi cha kutishia utendaji kazi wao baadaye.
Je kwa hali kama hii tutarajie wafanyakazi bora?