MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Hivi inakukaje mtu anakunywa pombe anagombana na familia, anagombana na marafiki,anasababisha ajali lakini bado pombe aachi. Yaani haya maneno ninayaandika huku nikiwa nimeshika beer yangu ya baridi. Basi tutafanyaje, jamani ninawatakia sikukuu ya pasaka.