BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Jamani hawa ni watu wa hali ya chini lakini wana mapenzi ya dhati tofauti na hawa wadada wengine.Hawachuni sana ani ukiwapa buku wanaridhika.Wanajua kutunza na ndo mana unakuta hata mama mwenye nyumba anaibiwa mume.Tena hawa wanawake wanaochati Facebook wanakua hawana mda wa kuwajali waume zao make mda wote kubofya Smartphone.