Ha ha ha! Ni katika hatua ya kuwandaa kwa majukumu ya baadae Hakielimu watatushukuru tu, ila wengine wakubwa wenzetu ila bado kula kulala wanaishi kwa shikamoo.
Aah! Si hao, ni wale waliomaliza vyuo ila hawana ajira so bado ni kula kulala wanaishi kwa sheria za wazazi/walezi.....Ila vihakielimu navyo dah! Basi tu.