Mapenzi ya kweli yapo kwa mwanamke mcheshi tu

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Mwenzenu nimepata mtoto mmoja hivi mkali ni mcheza komedi mtoto nipo naye kwenye mahusiano sasa hivi tuna kipindi cha mwezi

Mbususu na chukuwa saana. Lakini hatuchokani. Najaribu kuleta za kuleta ili mtoto achukie tununiane kidogo
Naishia kuambiwa asira nyingi uleta magonjwa ya moyo

Na kata tamaa ya kukasirika. Vijana tafuteni wanawake ambao ni wacheshi hawa akina amina watawatowa roho
 
Time will tell.Mwenyewe ni mcheshi sana Lakini siku ya kuamua na kusepa ni Moja tu.Tunavumilia Lakini tukichoka nitolee hiyo
 
Kila la heri
Aendelee kuwa mcheshi hivyo hivyo mapenzi yenu yadumu
 
Hawa wacheshi tatizo lao kubwa huwa wanaliwa kimasihara na wakware
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…