Hamad yusuph
Member
- Mar 21, 2024
- 45
- 33
PointOndoa hofu, fanya ya muhimu kwenye mapenzi na acha muda uwaprove
Yanadumu tu, kwani mapenzi si ni hisiaHiviš¤ mapenz ya kuwa mbali na mtu yanadumu kweliš¤·.
Au ndo inahitajika ushirikiano hasa uaminifu kwa kutochepuka mapenzi nisaidie jamani
Fimbo ya mbali haiui nyoka mkuu...Hivi[emoji848] mapenz ya kuwa mbali na mtu yanadumu kweli[emoji1745].
Au ndo inahitajika ushirikiano hasa uaminifu kwa kutochepuka mapenzi nisaidie jamani
Hahahš uhai tuYanadumu kikubwa uhai..š¤§
Hiviš¤ mapenz ya kuwa mbali na mtu yanadumu kweliš¤·.
Au ndo inahitajika ushirikiano hasa uaminifu kwa kutochepuka mapenzi nisaidie jamani
Hahh naqubal chafu ynguFimbo ya mbali haiui nyoka mkuu...
Mapenzi ya mbali yatadumu endapo Tu hamtakuja na wivu lakini ukweli n Kwanza kuchepuka n lazima
Kueeel broUkiondoa wivu yana dumu.
Inshort mapenzi hayana tofauti na bluetooth au Wi-fi, device iliyopo karibu ndio inaconnect.Hiviš¤ mapenz ya kuwa mbali na mtu yanadumu kweliš¤·.
Au ndo inahitajika ushirikiano hasa uaminifu kwa kutochepuka mapenzi nisaidie jamani
Sentesi chache tu, mwenye akili tu atakuelewa.Em achana na mapenzi, fanya mambo mengine.
Mapenzi yana wenyewe, na wenyewe sio wewe.
Tulizanaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]