Mapenzi ya mbali

Mapenzi ya mbali

Tanganyika1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
423
Reaction score
90
jamani leo naomba msaada juu ya hili. Mimi ni kijana wa kiume kwa sasa nipo dar ila najipanga kwenda sehemu fulani. Tatitizo langu ni kuwa siwezi kudumu na wanawake mara zote napokua mbali nao. Mihangaiko ya maisha hainiruhusu kukaa sehemu moja kwa muda mrefu. Tangu mwaka 2004 mpaka leo nimeishi tanga, iringa, lindi, dodoma, dar es salaam na sasa niko mbioni kwenda sehemu nyingine. Sasa nifanyeje na siipend hali hii?
 
Unailaa ya kwapo kunuka bila kidonda, sema ushazowea kuonja onja kwani ukiwa na mkeo sehemu ulipo au kumuacha pale kwenye makazi yako rasmi kuna ubaya gani au unaogopa kuibiwa?
 
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.
 
wewe usione soo..baadala ya kuwa na relationship wewe kuwa na locationships tuu.
 
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.

ushauri mzuri sana huu..
 
Oa mama wa nyumbani uhame nae kila unapokwenda.
 
problem solved, ushauri ndio huo mkuu...asante Asulo umewasilisha ipasavyo!
Mkuu ni kwamba wewe labda hapo serious na hao wapenzi wako unapokuwa nao mbali.
Mimi binafsi nimekuwa nikiishi mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu,about 4 yrs,lkn nilikuwa commited kwake yaani
nilikuwa na malengo naye..mi nlikuwa masomoni na yeye pia alikuwa masomoni lkn baadae mi nikaanza kazi mbali na alipokuwa. Naye pia alihitimu na kuanza kazi mkoa mwngne mbali na nlipokuwa.
Baadae tukafunga ndoa na akanifata nilipo.
Ila ktk mafanikio hayo kuna vitu vikuu vilivyosababisha yote
kufanikiwa
-:Mawasiliano yasiyo katika
-:Kutembeleana mara kwa mara
-:Uaminifu
-:Malengo kwa mwenzi wako na mwisho ni
-:Mapenzi ya dhati.
Ukizingatia hayo mkuu utafanikiwa katika mapenzi yako ya mbali..Ni kanuni nilizotumia mimi mkuu.
 
mweee tutapona kweli na naniliu

tena wala usiwe na wasiwasi utapona tuu maana kwa kuwa wajua wewe utakuwa wachovya kwenye K tofauti utahakikisha kuwa watumia condom kwa kwenda mbele. plus statistics favour vito*bi
 
tena wala usiwe na wasiwasi utapona tuu maana kwa kuwa wajua wewe utakuwa wachovya kwenye K tofauti utahakikisha kuwa watumia condom kwa kwenda mbele. plus statistics favour vito*bi

Mzabzab mwee asa kwani K huwa ina antivirus? dah no naipenda sana K yangu haiwezekani bana manake hata flsh disk ukiinsert kwenye kmpty tofauti inapata virus kuna trojan horse dah virus wanaweza kula files zote mmh
 
Mzabzab mwee asa kwani K huwa ina antivirus? dah no naipenda sana K yangu haiwezekani bana manake hata flsh disk ukiinsert kwenye kmpty tofauti inapata virus kuna trojan horse dah virus wanaweza kula files zote mmh

sasa wewe ukianza kwenda namna hiyo huta taka kukamatia K
 
kuikamata vp bana duh

sii wewe waogopa trojan sijui vitu gani...watu wanataka kuosha rungu kwa raha zao ssa wewe mie nakwambia long distance ni full usanii tuu....so kamatia K pale ulipokuwepo ukisepa forget abt that K. unatakiwa ukamatie nyingine. usiogope trojan wala babu ya viru wewe ni protection kwa kwenda mbele
 
...................
-:Kutembeleana mara kwa mara..........................

Hii kauli huwa inaifanya niwe nakumbuka usemi wa jamaa yangu mmoja ambaye huwa anadai anaenda kumsalimia mchumbake wakati anadai kila siku huwa wanasalimiana kwa simu!
 
sii wewe waogopa trojan sijui vitu gani...watu wanataka kuosha rungu kwa raha zao ssa wewe mie nakwambia long distance ni full usanii tuu....so kamatia K pale ulipokuwepo ukisepa forget abt that K. unatakiwa ukamatie nyingine. usiogope trojan wala babu ya viru wewe ni protection kwa kwenda mbele
trojan ni aina ya virus wa kmypta , dah sijakusoma vizuri ntarudi baadae
 
Back
Top Bottom