Mapenzi ya PWANI atiii....!

Wacha wee..hapo sasa unakuta hilo kawa limefunika chakula kitaamu...dah lazima utabasamu...
 
Wacha wee..hapo sasa unakuta hilo kawa limefunika chakula kitaamu...dah lazima utabasamu...
Hii nimekutana nayo MKWAJA huko Pangani TANGA mwanzoni mwa mwezi huu............................LOL
 
Miaka hyo hii kitu hawa baadhi ya wabara walikuwa wanatumia.
 
Hivi haya mambo ya pwani kweli yapo au ni hadithi za Alfu lela ulela?
 
Haya mambo ya vipepeo mpaka leo yapo?
Nenda Tanga mpaka leo yapo, mie nilinunua vipepeo kama sita hivi nilipokuwa Pangani nikavigawa zawadi kwa marafiki zangu...........walifurahi sana...............
 
Kweli kabisa, feni halifukiziki kwa udi, lakini hapo udi kama kawa, sharti ukipepewa wasikia raha tu.

"Mpenzi nipepee, nna usingizi nataka kulala".

Mijitu ya bara itayajuwaje hayo, wengine hata nguo ni miaka 20 nyuma wacha hiyo.
 
ha ha ha nikienda huko field watanikoma yakhe.. Lazima wanipepee kwa raha zangu mie...
 
Kweli kabisa, feni halifukiziki kwa udi, lakini hapo udi kama kawa, sharti ukipepewa wasikia raha tu.

"Mpenzi nipepee, nna usingizi nataka kulala".

Mijitu ya bara itayajuwaje hayo, wengine hata nguo ni miaka 20 nyuma wacha hiyo.
Kule Tanga kuna watu wa bara wengi sana wame-adoupt culture za watu wa kule huwezi hata kuwatofautisha aisee......... Nimekutana na mabinti wa Kinyamwezi, Kingoni, Kirundi na Wahyao na ukiwaona ..... Utadhani wenyeji haswa kuanzia kuvaa mpaka lafudhi..............
 
Kumbe ndo mtindo wakoee,mama ngina akikujua utafanyaje sasa,ngoja nim-DIPU dada Canta!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…