mapenzi ya siku hizi kama simu za china................


If women are cheap siku hizi, I think men are the cheapest. Huwa mnajisikiaje mnapowatongoza wanawake ambao mnajua kabisa wako na watu wao? Huko si kujirajsisha? You need to have one of your own and feel proud that you have her. Matokeo yake mnajivunia eti "AKAMUAGA JAMAA YAKE, TUKAHAMIA KIWANJA KINGINE". Kabla hujala ushaliwa tayariiii, Both men and women are cheaper cos nahisi kila mmoja huwa anatafuta asichokuwa nacho. PERIOD! mumezidi kutulaumu wanawake while you are the ones who set the fake calls
 

You must be crazy! ulivyomchukua ndiyo atakavyochukuliwa sasa sijui unafanya kitu gani.
 

weee kweli hamnazo
 
ukisikia sifa zakijinga ndio hizi, yaani mtu unajisifia kabisa kuopoa changu hadharani
 
nyote wawili hamna tofauti kabisa.Na wewe uliyesema nani anatumika kama chombo cha starehe umenifurahisha sana.Nikikujibu kwa angalizo hilo la upande wa starehe, ni kwamba wote wanatumiana na nashawishika kusema anayetumika zaidi ni mwanamme hilo halina ubishi. mtakwenda bar mwanamme yeye ndio atanunua bia na nyama choma au whatever and then mkienda hotelini atalipia gharama ya chumba.Baada ya hapo starehe mnapata wote na wakati mwingine mwanamke ajisikie raha zaidi.Baada ya shughuli mwanamme atoe hela ya asante, kamavile hiyo haitoshi atakupa hela ya tax au atachoma mafuta yake akurudishe kwako. Na ukumbuke sio mafuta tu, ametumia muda wake na nguvu zake pia kukudrive hadi kwako.NANI ATAKUWA AMETUMIKA ZAIDI?
 
Mimi naamini wanajf wote angalau wamefikia kiwango fulani cha elimu na ndo maana wako ktk mtandao huu makini.sasa wewe sijui kwanini shule haikukusaidia kureason kwamba heri usingepost mada hii kwani wasomi wenzako watakuona wewe pia ni kahaba tu la kiume usiyejua maana ya mapenzi.
 
unaona umelamba dume kumbe galasa,kahaba huyo anauza!!uko wapi kwani?kama ar basi itakuwa ulikuwa picnic au shivers!pole,umeumia
 
Hata wewe atakufanya hivyo hivyo kama alivyomfanya jamaa,ningekuwa mimi nisingeandika hapa kujisifia kwa kuuchukua huyo changu,changu ni changu kaka anaangalia ATM kama inatoa ule mlio wa traaaaaaaa,
 
Wewe na huyo mwanamke akili zenu zimefanana. Kwanini ulimtongoza mtu wa mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…