Mapenzi ya uchawi wa kiapo yanavotesa watu

Mapenzi ya uchawi wa kiapo yanavotesa watu

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Miaka ya 90 nilimpenda binti mmoja alinisumbua sana enzi hizo basi nakaona nimwendee kwa sheik wangu kunipa dawa ya kumvuta kuwa wangu bwana.

Nikaandikiwa makorokocho na dawa ya kupaka sehemu za siri.kweli bwana nikabahatika kumteka yule mtoto wa kike.

Uwezi amini yani mpaka leo ananisumbua wakati kashaolewa na bado ana matumaini nitakuja kuwa mume wake wakati mimi nishasau.

Kinacho nikasirisha achoki kunipigia simu na yupo tayari kwa lolote.nishamkanya sana mpaka nimechoka
 
Miaka ya 90 nilimpenda biti mmoja alinisumbua sana enzi hizo basi nakaona nimwendee kwa sheik wangu kunipa dawa ya kumvuta kuwa wangu bwana .

Nikaandikiwa makorokocho na dawa ya kupaka sehemu za siri.kweli bwana nikabahatika kumteka yule mtoto wa kike.
uwezi amini yani mpaka leo ananisumbua wakati kashaolewa na bado ana matumaini nitakuja kuwa mume wake wakati mimi nishasau .
kinacho nikasirisha achoki kunipigia simu na yupo tayari kwa lolote.nishamkanya sana mpaka nimechoka
Unalia lia nini mtoto wa kiume..

OA OA OA ulitaka mwenyewe hiyo dhambi kupona kwake OA afu nenda katubu kwa unakoamini.
 
Onyo: Kuchez na mke wa mtu sawasawa kucheza na moto.

Hatutaupokea utetezi wako kwamba yeye ndo anakusumbua hiyo siku ya 40 itakapofika.
 
Basi poa lakini lipia Tangazo kwanza mkuu 😃😃
 
Kategue kwa mganga wako, kama alishakufa ndio basi tena iko siku huyo mwanamke atakuvunjia ndoa.
 
Miaka ya 90 nilimpenda binti mmoja alinisumbua sana enzi hizo basi nakaona nimwendee kwa sheik wangu kunipa dawa ya kumvuta kuwa wangu bwana.

Nikaandikiwa makorokocho na dawa ya kupaka sehemu za siri.kweli bwana nikabahatika kumteka yule mtoto wa kike.

Uwezi amini yani mpaka leo ananisumbua wakati kashaolewa na bado ana matumaini nitakuja kuwa mume wake wakati mimi nishasau.

Kinacho nikasirisha achoki kunipigia simu na yupo tayari kwa lolote.nishamkanya sana mpaka nimechoka
Fanya hivi, kata hicho kifanyio na hutanwona tena
 
Iyo mbaya ,mkuu ulifanya vibaya sana vipi lakini uyo sheikh ana patikana wapi
 
Back
Top Bottom