chaming gal
New Member
- Mar 15, 2012
- 1
- 0
wengine wakiambiwa ukweli mtupu wanaona kama wanadanganywa sasa inabidi uweke uwongo japo kiduchu sio sana kiduchuu...
Uongo kwenye mapenzi ni lazima....sasa wamwambia mtu silali nakuota wewe, utaota vipi ikiwa hulali. Mbaya zaidi ni utapeli wa mapenzi thats kills!