story za utotoni zinauma maana unanikumbusha miaka 1985 nifanya kituko cha mwaka pale nilipokutana na msichana mmoja na kumpa thumuni alifurahi sana huyo msichana na kila alipokuwa ananiona hata shuleni alikuwa anapenda niwe naye karibu
Hahahahaaa good friends eeeeh! Haya angalia zabibu haimenywimi nilipotinga darasa la tano nikapata kavulana ambako kalikuwa kanapendwa na wasichana wote nikAwa kinara darasa lote kuanzia mkondo A mpaka D ,too bad nilivyofika la sita kuingia la saba nikahamia mkoa mwingine nilikaa zaidi ya miaka kumi na mbili ndio tukaonana tena kale kaupendo baina yetu bado kapo though kila mtu ana mwenza wake tumebaki tu kuwa good friends
ahh raha tupu
mpango mzima wa kuenda shule pamoja na kurud....wailes mpk mtaa wa mkuranga ahh mmeongeaaaaaaaaaa weeeeeeee njian ..mmefinyanaaa...ushapelekwa kwa babu chachandu kununuliwa mihogo ahh araha jaman....then badaye kumsindikiza madrasa na mimi ikifika j5 kwenda mafundisho chang'ombe nasindikizwa dahh rahaaa...BT NTHNG LIKE KUVULIANA CHUP...ni unamjali na nakujali...i thk ule moyo ungeendelea mpk kesho ningekuwa dahh...mke mwema bt dah sjui umeenda wap...NAUSAKAAAAAAAAAA😛ainkiller:
Hahahahaa baada ya kukua eeh? Dah mi it took longer than form two mpaka kuja kufanya, i was scared and didnt know what to do coz i never saw it done anywhere before.
Hahahaha....iliwahi kunitokea
OOh poor thing maybe ulikuwa unamuangalia sana so he knew u had a crush on him na wakaamua kukuchezea akili. Mh ndio crush yako ikaishia hapo?mi nlikuw naona aibu kumwangalia da guy,i rmbr kuna ds guy he woz xo cute,evry gal lykd hm,nakumbuk kuna ds day hz frndz tld me ananiit nilifurah xna!kumbe walikuw wananidangany!i felt rily bad!nkajiona mby ile mbya
Khaaa sa watoto wa siku hizi si wanaanza kuona aneno yanafanywa wakiwa na miaka mitano so wakifika 12 wako very experienced.....sisi bhana utaonea wapi?
Dah kwahiyo videti vilikuwa lunch kwenye mihogo ehh? Da si karibu na shuleni kwetu kulikuwa na mzee anaitwa mzee mponda alikuwa maarufu sana aseeteh teh teh,rose umenifurahisha jamani kwa kunikumbusha kwa babu chachandu,2likuwaje tunadoji 2nakimbilia huko na vbf eti 2nakula lunch,usiombe ukutwe na mwl shokoraa.lazima tatu utazilamba,
Aaaaah ile ya kinguo nguo? Unajua thats totally different with a real thing eeh ndio ile huwa nasema hakuna wakati mgumu anaokutana nao mwanaume kama pale anapokuwa anataka kumuapproach mwanamke anayemfeel kiukweli.....dah we acha tuKwenye majumba ambayo hajaisha mlipokua mkicheza baba na mama.
Aaaaah ile ya kinguo nguo? Unajua thats totally different with a real thing eeh ndio ile huwa nasema hakuna wakati mgumu anaokutana nao mwanaume kama pale anapokuwa anataka kumuapproach mwanamke anayemfeel kiukweli.....dah we acha tu
Hapana hatua ya kula vijani huwa hatufiki ila believe me mpaka anafikia hatua ya kukueleza ujue ameshafanya attempts zaidi ya kumi. Anaweza kuja kajiandaaa akifika kwako maneno yote yanayeyuka....Kwani na nyie mnapatwaga na mfadhaiko wa kuchuma vijani au kujikuta unatafuna vidole!! Now days bwana hakuna kusumbuana akili for the time being wapo kibao
Hapana hatua ya kula vijani huwa hatufiki ila believe me mpaka anafikia hatua ya kukueleza ujue ameshafanya attempts zaidi ya kumi. Anaweza kuja kajiandaaa akifika kwako maneno yote yanayeyuka....
Dah umenikumbusha asee, mi pia kuna barua niliiandika halafu sikuipelka ikapita kitambo maza akaja akaibuka nayo niliruka mita mia nane na hamsini uzuri nilikuwa sijaandika majina ila alikubali tu kwamba sio mimi ingawa alijua ni mimiMe nlikuwa naongoza kwa barua kutoka kwa boy.wacha siku mama akione kwenye daftar nlikula kichapo nikashika adabu.
I had a friend, anaitwa Frida tulikuwa majirani na family friends. Mchezo wetu ilikuwa ni kuwaahidi wavulana waje nyumbani halafu hatutokei. Kesho yake tunasimuliana nani alimshikisha pembe nani!
It was lot of fun. Halafu sex tuliona kitendo disgusting yaani tulifananisha na mtu akufanye wewe jalala la kumwaga uchafu wake!
Tuliendelea na hiyo mpaka form 2 mwenzangu alipoanza kuitazama sex kama kitu kingine. LOL