Mapenzi ya valentine: mpenzi wangu amenifanya nijihisi malkia!

Nishazoea kucomment nyuzi za watu kuachana na kusalitiana. Hapa hata sielewi.

Narudi tena kwenye uzi wa Aziz Ki na Mobetto.
 
Ulitoa shngp kwa mashangazi ya sinza, au ndo wote wakuna mbupuz
l
 
Wewe umemfanyia nini in return ama umekuwa liability tu, ngono tu haitoshi Mana hata kuku ana provide ngono Sasa wewe ni binadamu do something extra or distinguish yourself from hen/goat.

Pia psychologically huna amani ama furaha ya mapenzi, debe tupu huvuma,
The empty tin makes the loudest noise of all.
Mwenye hela huwa hasemi kuwa ana hela.
Kuna mtu anaenda kwenye hotel ya tajiri mmoja anapiga picha pale anajitapa kuwa ana hela na anaenjoi Maisha Mana ana hela sana kumbuka mwenye hiyo hotel hafahamiki ama yupo zake silent Wala hauzi sura ama kupiga kelele.
In depth psychologically you're lacking love, I know from psychological point of view.
Mjukuu wa trump akipanda ndege hapigi picha kuposti mtandaoni ama status. Ila Sasa ambao ndio first time nakuambia Sasa watatangazia dunia nzima,
Mtu akanunua gari ana miaka 35-50 nakuambia kelele na mauzo na matangazo Kama yote mara njoo uone kwangu nilikojenga.
They're very weak internally
 
Vitoto vya elfu 2 vinapita pekupeku bila kandambili ,we huogopi ?huogopi?

Hivi ujana ukojeee ,ujana ukojeee .
 
Ww ulimpatia nn......?
 
Mwanaume akimpenda mwanamke, atamuoa. Hiyo ndiyo njia ya kwanza na ya pekee ya kuonyesha upendo.

Kuonyesha upendo ndiyo itakuwa life style yake na sio kusubiri uchunde mpaka siku spesho.

Jamaa ameshafika kwenu na kutia nia. Au haya yote yalifanyika vichochoroni?
Sio kwa ubaya. Ni kwa nia njema.
 
😂😂😂Wew tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…