Mapenzi ya wanawake watu wazima ni matamu sana








Mwaka wa fedha 2019/2020
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shikamoo afande

Sent using Samsung S6 Edge
 
TZX 70-80
TZT 90-100

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ hawa ni Write-off! Ukipiga unajitaftia laana tu.




πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ngoja na mimi nijaribu namba A labda ni kweli kinachozungumziwa hapa
 
Mi hata mseme vipi ...number A, kwangu ndio kila kitu hapa tayari limeshatinga magheton ....na mihot pot kwenye gari yake ...nasubiri nile nipige mechi

Halafu uje uniambie number A zimechoka body wakati injini ipo matata .....ushirikiano kama wote

Watoto wadogo sina habari nao miakaa 22, vina penda kupritend sana .....vingine vinatoka nyumba za makuti lkn kila kitu vinajua ...vinajidai vijuaji usumbufu mwingi

Number A itaendelea kuwa kila kitu kwangu napata mawazo ya kimaisha kama yote !!

sent from toyota Allex
 
daaah no stress kabisa kumbe
 
Eeeh mie nimepikiwa biriani ya samaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…