Mapenzi ya wanawake watu wazima ni matamu sana

Pole
Nipo kwa mama langu nakula vitu vyangu
Ndiyo nimetoka kutoa kimoja saiv saa tisa usiku nasubir kingine saa kumi na moja asubuh

Hizo kelele zako wala sizisikii
Endelea kula slayqueen wako mzee
Kila mtu anachagua maisha yanayompa furaha

Taadhari nakupa
Nikimjua mke wako napita nae.
Tatizo hujawahi kukutana na wamama wasafi wewe
 
Anakupeleka jehanam lzm akuletee ujeuli ukishafika huko ndiyo utajua utamu wake
 
Sijui na Mimi nitafute kidume?
 
.....Yaaan ni kweli kabisa,kipindi naishi maeneo flan ya mbezi,nilimpata mmoja kipindi icho ndo nahanza maisha mm nilikuwa 26 age,yeye 42 yaan mapenzi yalikuwa mazuri,alafu yenye future,ila awa pisi kali full stress kuna siku nitaleta uzi wangu DADA BERT
 
Mmmhhh, hili jukwaa la MMU, huwa siingiagi kumbe ndo kuko hivi
 
Dah.,upo juu sana The Boss wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…