Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
pigeni pombe mpate wachumbaWalevi bwana!
wapo wanaopiga mkuuWale wazee wa TAKBIIIR tunakomenti wapi??Kwa hiyo hatuna mapenzi matamu kwa sababu kwetu pombe haramu??!!!
UmekomentiWale wazee wa TAKBIIIR tunakomenti wapi??Kwa hiyo hatuna mapenzi matamu kwa sababu kwetu pombe haramu??!!!
Ni kweli mkuu huwezi kulinganisha na wale wanaotumia fantaNimethibitisha tena hayana unafiki kama ya wanaojiita wacha mungu machoni pa watu.
ha ha ha haKwanza tukilewa wotee tunaongea engilishii tuu
Huwa yananoga sanaAhaaa tunatakiwa kuongeza unywaji mapenzi zikolee
Wale wanaopiga maji matamu matamu wabaya sana.....wanaweza kwenda kukuwangia mkuu;wanywa pombe sio wanafikihakika
ha ha ha ha lakini asizidishe kitu kikashindwa kusimamaWrite your reply...ngoja tumsubiri MLEVi Mmoja ana lipi la kusema kuhusu hili
Sawa mkuu ngoja nilewe nikayanogeshe homeHuwa yananoga sana